me pia cjaamini kama baba anaweza kua hivi loh!
ngoja wapewe haki zao hapa tz ndio mtawajua hadi mawaziri na wabunge nao wamo kumbe loh!
mtasonyajeeeeeeeeee
hahaaaaaaaaaaaa kama kawa libeneke mutaliona watz mwaka huuHapo kwenye red umenena.......wengine hata ukiwaangalia kwenye sikirini ya tivii yako pale mjengoni unaweza kuvuta hisia tu, lol
Wana nyuti tu kimyaaaaaaa lakini ikipitishwa mtawaona.....si unajua tena wanajidaigi wazee wa "napinga kwa nguvu zangu zote" na ikipitishwa wao ndio wa kwanza "kwa juhudi zangu zote nimetekeleza"....hahahaaaa, sipati picha
Mambo niaje mazee nitumie raba mtoniSwali la kujiuliza. Je, Yo Yo wa JF ni shoga? Jibu ni NDIYO kwa herufi kubwa na kwa asilimia 800 msisitizo.
Mambo niaje mazee nitumie raba mtoni