Hili la nauli Serikali iliangalie upya yaani ongezeko la Tsh 15,000/ kweli!? Nauli kutoka 38,000 hadi 53,000 jamani kweli!? Mbona mmekuwa wabinafsi?

polokwane

JF-Expert Member
Dec 16, 2018
3,362
5,809
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sasa hivi ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
 
Viongozi wakuu ndio wafanya biashara wakubwa wa usafirishaji wa abiria unategemea nini?. Afu Latra wanakwambia nauli zimepanda ili kugharamia matengenezo ya magari na malipo ya wafanyakazi!!, Yaani abiria tunapandishiwa nauli kumfanya tajiri wa gari afanye matengenezo au alipe mishahara kwa wafanyakazi wake?. Serikali ya CCM n wasengelema Sana.
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje ? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sahiz ni 55,000 , hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi ?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika nae.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
CCM inakusanya pesa ya uchaguzi 2025.

Hakuna wa kututatulia taabu zetu zaidi ya sisi wenyewe kuchukua hatua
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sahiz ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Raisi ndo mjinga namba moja .hataki hata kuumiza kichwa kuhusu nchi yake unaongezaji nauli hivyo ilihali mafuta yanaendele kushuka
 
Maumivu haya yaelekezwe 2025. Msifanye makosa tukarudi tena mitandaoni kulalamika.

Binafsi nishachoka hata kusema mwisho utaishia kukamatwa. Ni mateso makubwa kwa wananchi halafu anayepaswa kuwasemea yuko kimya halafu anakuja mtu anasema manini gani sijui huko.

Waandamizi wengi ni wafanyabiashara wa magari na dala dala. Sasa mmateso mwenzangu unataka tuitwe mwanaraha ili iweje???

Wacha wale raha nasi tule mateso japo wanakale wanasema yana mwisho . Ni muda mwafaka kwao. Nasi ni muda murua kuinjoi haya mateso.

Aliposema Magufuli kwamba ipo siku tutamkumbuka hakika alikuwa amelewa gongo. Ila leo nimetambua haikuwa gongo bali ili
 
Wakiwapita na mavxr yao wakiwa ndani wakipigwa kiyoyozi nyie mkiwa kwenya mabasi mmebanana,na kujambiana wanawazomea
Wanasema waoneni wale mafal....waleeee

Ova
Na wanawanalipana hadi mafuta ya hayo magari kwa kodi zetu, ndio maana hawawezi kuyaona haya maumivu ya huku chini,

ukisha ona nchi inashikwa na wafanya biashara basi ujue watakao umia ni wananchi wa chini ndio haya sasa hakina mwenye uchungu wa dhati na wananchi zaidi ya kuwafanyia unafiki wa kujifanya wanaguswa na matatizo yao kumbe wanawabeza wanawaumiza kimya kimya
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sahiz ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Tatizo kuu ni viongozi kuingia kwenye biashara.
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sahiz ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Sasa Latra kashapewa fungu lake na nyie kama mnaweza pandeni dau mpeleke Latra nauli zitashuka
 
Hivi hii ni makusudi au ninini, au kuna mbinu ya kumkomoa Mh Rais kimya kimya baada ya kujua sio mfuatiliaji wa maswala kama hayo?

Hilo ongezeko la kiwango hicho limekuwaje? Yaani sehemu uliyo kuwa unasafiri kwa elfu 10 saihiz ni elfu 15 sehemu uliyo safiri kwa 40,000 sahiz ni 55,000, hivi wananchi wanaangaliwa hapa au ni maslahi ya wafanya biashara ndio yanazingatiwa zaidi?

Kwakweli kwa sasa naona wafanya biashara wameishika nchi kweli kweli yaan wanaamua watakalo.

Hii nchi hiii, ndio maana kuna mtu alisema wafanya hiashara wakubwa sasa wanafanya kila wawezalo kuhakikisha mama anabaki madarakani kumbe kuna wanacho nufaika naye.

Mama tafadhari simama na wananchi maana ndio unao waongoza kwa wingi na ndio unao wahitaji kwenye kura hawa wafanya biashara wawe na kiasi usiwakumbatie sana wananchi tuna umizwa sana.
Wanaomiliki vyombo vya usafir wengi ndio hao hao wanasiasa wanaopitisha hizo sheria bungeni.
 
Nadhani tangu July- 2021, kwenye bajeti mpya ya akina Mwigulu,hadi sasa hakuna kitu hakikupanda bei..

Labda na wao wameamua kujipandishia nauli ili kukidhi manunuzi ya mahitaji haya yaliyopanda bei kila eneo
 
Back
Top Bottom