cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
Kuna haja ya kuwa na taasisi imara na sio kufata hisia za mtu mmoja, mbona marekani walimnyoosha Trump. Kufata matakwa ya mtu badala vision na future ya taifa ni hatari.Ni hatari sana yote haya yanafanyika kwa sababu ya upumbavu wa mtu mmoja tu.