Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
Najiuliza swali Hili: Kutakuwa na masomo mawili ya Historia huku somo la Sasa likiendelea kufundishwa kwa kingereza? Je kutakuwa na somo jipya la Historia ya Tanzania litakofundishwa kwa kiswahili kuanzia daraasa la kwanza hadi form six ambalo ni la lazima?
Kimbukeni Rais kasema Historia ya Tanzania iandikwe upya na kufundishwa kwa kiswahili kwa ngazi hizo za elimu. Waziri wa elimu kaagizwa kusimamia hili haraka na lianze kufundishwa January 2022.
Niondoleeni utata ktk hili maana sidhani hata Kama huyu waziri na Rais wameelewana na sidhani Kama Waziri anafahamu Rais anataka nini na pia Rais sidhani Kama ana uhakika ikiwa waziri wa Elimu kamuelewa.
Kimbukeni Rais kasema Historia ya Tanzania iandikwe upya na kufundishwa kwa kiswahili kwa ngazi hizo za elimu. Waziri wa elimu kaagizwa kusimamia hili haraka na lianze kufundishwa January 2022.
Niondoleeni utata ktk hili maana sidhani hata Kama huyu waziri na Rais wameelewana na sidhani Kama Waziri anafahamu Rais anataka nini na pia Rais sidhani Kama ana uhakika ikiwa waziri wa Elimu kamuelewa.