Hivi ni Somo la Historia litafundishwa rasmi kwa Kiswahili au kutakuwa na masomo mawili ya Historia huku Somo la Sasa likibaki Kama kawaida?

Dunia yote sasa hivi wanaangalia miaka 20, 50, 100 huko mbele itakuwaje. Wanatabiri kuwa Artificial Intelligence (AI) itakuwa ime-dominate maisha ya mwanadamu karibu katika kila nyanja; na kazi nyingi zitakuwa automated. Karibu kila mtu anachacharika kuimarisha mitaala ya Kompyuta, Hisabati na Sayansi ili asiachwe nyuma. Sisi ndiyo kwanza tunaanzisha mitaala mipya ambayo ni redundant kufundishana Historia ambayo tayari ipo na inafundishwa vizuri tu. Akina Mangungo, Mkwawa na Kinjeketile Ngwale, Mangi Sina, akina Mirambo na Nyerere si tunawasoma vizuri tu jamani?. Kama ina mapungufu mtaala wake ungefanyiwa marekebisho tu kwa kuongezewa topics mpya hapa na pale mambo yakasonga mbele. Ingekuwa somo kama Agriculture ndiyo linafanywa kuwa la lazima (tena kwa vitendo) angalau ningeelewa kidogo...
Na nchi hii masomo ya science ndo wanafeli Sana hzo juhudi za kuongezea history juu ya history kwanini wasiwekeze kwenye hata kuajiri walimu wa science,na kama ulivosema dunia ina badilika KWA Kasi ya 5g huku sisi tukihangaika na history ambayo itakuwa duplication tena KWA kurudia kwa kiswahili. Mama ndalichako licha ya kuwa prof ila ubunifu zero sema na rahisi anafikiria kuwa prof ni kuwa na akili na mtendaji
 

Hivi waziri alishindwa kujadiliana na Rais kuhusu hili?
Hawa wateule wao ni ndio tu KWA Raisi hawana ubunifu Mimi sioni umuhimu wao Kama kila lazima waelekezwe na Raisi na hawana Cha kushauri
 
Kuna haja ya kuwa na taasisi imara na sio kufata hisia za mtu mmoja, mbona marekani walimnyoosha Trump. Kufata matakwa ya mtu badala vision na future ya taifa ni hatari.
Labda miaka 100 ijayo huku Tanzania tutakuwa tumefika.
 
Na nchi hii masomo ya science ndo wanafeli Sana hzo juhudi za kuongezea history juu ya history kwanini wasiwekeze kwenye hata kuajiri walimu wa science,na kama ulivosema dunia ina badilika KWA Kasi ya 5g huku sisi tukihangaika na history ambayo itakuwa duplication tena KWA kurudia kwa kiswahili. Mama ndalichako licha ya kuwa prof ila ubunifu zero sema na rahisi anafikiria kuwa prof ni kuwa na akili na mtendaji
Watoto mashuleni wanafundishwa somo la TEHAMA kwa kutumia picha ya TV za kichogo halafu serikali inawekeza pesa kuleta mtaala wa somo ambalo tayari lipo
 
Tanzania bado ina safari ndefu sana
Miaka sitini ya Uhuru badala ya kujikwamua kiuchumi na umaskini viongozi wanafikiria kufundisha somo la historia tangu chekechea Hadi chuo kikuu kwa kiswahili huo eti ni ubunifu wakati wizara ya elimu ina machangamoto makubwa ambayo hayajatatuliwa
 
Watoto mashuleni wanafundishwa somo la TEHAMA kwa kutumia picha ya TV za kichogo halafu serikali inawekeza pesa kuleta mtaala wa somo ambalo tayari lipo
Kwanini wasijenge masarasa yakutosha na walimu kuliko kuhangaika na historia ka shule iko ubungo Dar haikuwa na madawati sembuse kuhangaika na minor issue za SoMo la historia,mhhhh what a waste to our education lojhhhhh.
 
Kwanini wasijenge masarasa yakutosha na walimu kuliko kuhangaika na historia ka shule iko ubungo Dar haikuwa na madawati sembuse kuhangaika na minor issue za SoMo la historia,mhhhh what a waste to our education lojhhhhh.
Nia ya jiwe ni kusomwa yeye
 
Najiuliza swali Hili: Kutakuwa na masomo mawili ya Historia huku somo la Sasa likiendelea kufundishwa kwa kingereza? Je kutakuwa na somo jipya la Historia ya Tanzania litakofundishwa kwa kiswahili kuanzia daraasa la kwanza hadi form six ambalo ni la lazima?

Kimbukeni Rais kasema Historia ya Tanzania iandikwe upya na kufundishwa kwa kiswahili kwa ngazi hizo za elimu. Waziri wa elimu kaagizwa kusimamia hili haraka na lianze kufundishwa January 2022.

Niondoleeni utata ktk hili maana sidhani hata Kama huyu waziri na Rais wameelewana na sidhani Kama Waziri anafahamu Rais anataka nini na pia Rais sidhani Kama ana uhakika ikiwa waziri wa Elimu kamuelewa.
Kwa kukusaidia
Hata waziri wa elimu mwenyewe ni naive na hajui contents ya hilo somo jipya la Historia hadi pale mwl mwenzake atakapomwambia nini kifundishwe.
 
Kuna haja ya kuwa na taasisi imara na sio kufata hisia za mtu mmoja, mbona marekani walimnyoosha Trump. Kufata matakwa ya mtu badala vision na future ya taifa ni hatari.
Sasa IQ za wamarekani utafananisha na IQ za watanzania ?

Kwenye nini labda tunafanana.

Labda labda tunafanana kwenye kushiriki porn industry through bongo muviz japo huku haipo wazi kama kwao
 
Back
Top Bottom