Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,553
- 93,212
Hospital hakuna Tiba ya cataract zaidi ya upasuwaji je wataalam wa miti shamba nao ugonjwa huu umewashinda?
Tiba zipo za mitishamba sema kwa sasa zimepotea haswa mjini kwa vile zinadharaulika.Cataract ni tatizo la lenzi ya jicho kushindwa kufanya kazi yake vyema. Mitishamba inaweza kurekebisha hili tatizo?
Tiba ipo ila hawajaigunduwa! aliyemuelewa huyu anifafanulie.Naimani tiba ipo ila bado hawajaigundua.. Maradhi mengi tu yana tiba zake za asili.
Dawa gani?Dawa zipo ila nafikiri unatakiwa uwahi wakati tatizo linaanza likishakomaa hakuna namna ni lazima ufanye operation
Majani ya nyanya ponda weka maji yake, kama tatizo ni kubwa kuna majani ntakutumia picha yake pia unayaponda maji yake unaweka.Dawa gani?
Dadavuwa.Majani ya nyanya ponda weka maji yake, kama tatizo ni kubwa kuna majani ntakutumia picha yake pia unayaponda maji yake unaweka.
Na Mimi nasubiri Hilo janiDadavuwa.
Katokomea.Na Mimi nasubiri Hilo jani
Dr Matola PhD tiba zipo ila hao matabibu wa sikuhizi ndo hawazijui.Hospital hakuna Tiba ya cataract zaidi ya upasuwaji je wataalam wa miti shamba nao ugonjwa huu umewashinda?
Kwa mtoto wa jicho huwezi weka majani ya nyanya weee usisababishe jamaa akauwa macho yake.Majani ya nyanya ponda weka maji yake, kama tatizo ni kubwa kuna majani ntakutumia picha yake pia unayaponda maji yake unaweka.
Chukua majani ya nyanya yawe mengi mkononi kwako ponda ponda au yapikiche yatatoa maji yale maji dondoshea kwenye jicho, zoezi hilo lifanywe kwa siku 5 mfululizo asubuhi na jioni.Dadavuwa.
Chukua majani ya nyanya yawe mengi mkononi kwako ponda ponda au yapikiche yatatoa maji yale maji dondoshea kwenye jicho, zoezi hilo lifanywe kwa siku 5 mfululizo asubuhi na jioni.Dadavuwa.
Hio ni dawa ninayoijua mimi na ambayo nimeona ikitibu watu sasa siko hapa kwa ajili ya kusababisha ,kusema au kufundisha kitu ambacho sijui na kinaweza kumdhuru binadamu. Na pia aliuliza sasa yeye ndiyo atachagua kutumia au kutokutumia akiona haifai.Kwa mtoto wa jicho huwezi weka majani ya nyanya weee usisababishe jamaa akauwa macho yake.
Majani ya nyanya tuliwekwa kipindi cha utoto tulipo umwa red eyes