Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
Mh Rais ni kweli umeamua kuuwa uchumi na biashara kabisa? Hivi kweli umeruhusu kadi za namna hii?
Hii nimeikopi kwa mwana jf wakukurupuka1
Nanukuuu
“Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya
Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa
1: TRA.
2: FIRE.
3: JIJI.
4: USAFI.
5: Kodi ya store.
6: Makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7: Kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo”
Mwisho wa kunukuu
Hivi kweli mtu awe na store ya kuhfadhi mzigo wake halafu anatakiwa kulipa kodi? Na akitoa huo mzigo kwenda dukani akiupakia atatakiwa kulipa kodi na akifika dukani kwake atatakiwa kulipa kodi ya kushusha mzigo halafu akianza kuuza atatakiwa kulipa kodi tena hivi hii ni kweli au TRA wanasingiziwa?
Hivi kodi zipo kwa mtu mmoja au wafanyabiashara wanachangia kwa pamoja? Hivi kweli kuna mfanya biashara ataweza kudumu bila kutoa rushwa? Kuna mfanyabiashara atadumu bila kufanya magendo? Mbona kodi ni nyingi sana kwa mtu mmoja? Hii ni zaidi ya double taxation!
Hivi hizi kodi kweli zipo zote au TRA na serikali wanasingiziwa?
Kwanini Rais usimamii maneno yako?’hizi kodi zote hasa hiyo ya store na kushusha mzigo sio uporaji na unyang’anyi kabisa? Msaada wako uko wapi? Kwanini unayaacha haya au sio kweli?
Hii nimeikopi kwa mwana jf wakukurupuka1
Nanukuuu
“Leo Kuna mgomo kwa wafanya biashara soko kuu kkoo kutokana na kila wiki uzinduzi wa kodi mpya
Baadhi ya kodi unazotakiwa kulipa
1: TRA.
2: FIRE.
3: JIJI.
4: USAFI.
5: Kodi ya store.
6: Makato 10% kweny commission (watu wa mihamala)
7: Kodi yakupeleka lori kkoo kubeba au kushusha mizigo”
Mwisho wa kunukuu
Hivi kweli mtu awe na store ya kuhfadhi mzigo wake halafu anatakiwa kulipa kodi? Na akitoa huo mzigo kwenda dukani akiupakia atatakiwa kulipa kodi na akifika dukani kwake atatakiwa kulipa kodi ya kushusha mzigo halafu akianza kuuza atatakiwa kulipa kodi tena hivi hii ni kweli au TRA wanasingiziwa?
Hivi kodi zipo kwa mtu mmoja au wafanyabiashara wanachangia kwa pamoja? Hivi kweli kuna mfanya biashara ataweza kudumu bila kutoa rushwa? Kuna mfanyabiashara atadumu bila kufanya magendo? Mbona kodi ni nyingi sana kwa mtu mmoja? Hii ni zaidi ya double taxation!
Hivi hizi kodi kweli zipo zote au TRA na serikali wanasingiziwa?
Kwanini Rais usimamii maneno yako?’hizi kodi zote hasa hiyo ya store na kushusha mzigo sio uporaji na unyang’anyi kabisa? Msaada wako uko wapi? Kwanini unayaacha haya au sio kweli?