Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,377
HIili swala la mikopo uumiza mitaani na na kwa njia ya online, limegeuka kilio na maumivu kwa watu wengi na ushahidi ni kuongezeka kwa nyuzi(thread) kuhusu mikopo umiza hapa hspa JamiiForums.
Malalamiko haya hayajaanza leo, jana wala juzi, bali ni ya muda mrefu na bahati nzuri serikali ikaja na sheria ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2018 na kanuni zake za mwaka 2019 ambapo Benki Kuu ya Tanzania(BOT) ndio wenye jukumu la kusimamia hiyo sheria na pia kutoa elimu kwa umma kama sikosei.
Hata hivyo, mikopo hii inayotolewa kinyume na sheria, imeendelea kutolewa na watu binafsi na baadhi ya. Taasisi kama vile hii sheria haipo kabisa na hii inatupa ujumbe kuwa waliopewa dhamana ya kusimamia hii sheria wameamua kuzembea au kazi imewashinda.
Leo hii naomba kuuliza ni nani humu amewahi kuona. au kusikia. BOT wamechukua hatua kwa watu au taasidi zinazofanya hii biashara pasipo kufuata sheria.
BOT, mbali na kutumia vipind vya television kuelezea kuhusu hii sheria na kutoa press release kwenye website yao kuonya kuhusu kufanya biashara ya kukopesha pasipo kuwa na leseni, nini kingine wanafanya kusimamia hii sheria?
Au BOT mna masilhahi na wavunja sherial?
Mfano wa nyuzi (thread) za malalamiko za hivi karibuni ni hizi:
Malalamiko haya hayajaanza leo, jana wala juzi, bali ni ya muda mrefu na bahati nzuri serikali ikaja na sheria ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2018 na kanuni zake za mwaka 2019 ambapo Benki Kuu ya Tanzania(BOT) ndio wenye jukumu la kusimamia hiyo sheria na pia kutoa elimu kwa umma kama sikosei.
Hata hivyo, mikopo hii inayotolewa kinyume na sheria, imeendelea kutolewa na watu binafsi na baadhi ya. Taasisi kama vile hii sheria haipo kabisa na hii inatupa ujumbe kuwa waliopewa dhamana ya kusimamia hii sheria wameamua kuzembea au kazi imewashinda.
Leo hii naomba kuuliza ni nani humu amewahi kuona. au kusikia. BOT wamechukua hatua kwa watu au taasidi zinazofanya hii biashara pasipo kufuata sheria.
BOT, mbali na kutumia vipind vya television kuelezea kuhusu hii sheria na kutoa press release kwenye website yao kuonya kuhusu kufanya biashara ya kukopesha pasipo kuwa na leseni, nini kingine wanafanya kusimamia hii sheria?
Au BOT mna masilhahi na wavunja sherial?
Mfano wa nyuzi (thread) za malalamiko za hivi karibuni ni hizi:
DOKEZO - BoT, TCRA na TRA hivi hizi Taasisi za Mikopo ya Online zipo Kisheria na zinalipa kodi?
YAH: MALALAMIKO JUU YA TAASISI ZA MIKOPO MTANDAONI Kama mnavyojua changamoto zipo kwa Kila mtu hasa upatikanaji wa fedha pale unapokuwa umepata shida ya ghafla yenye uhitaji wa pesa au changamoto kwenye Biashara, mara nyingi unatafuta sehemu kama kwa mtu binafsi au taasisi yoyote ya kifedha ili...
www.jamiiforums.com
Wastaafu wanateswa sana na mikopo ya kausha damu wasaidiwe
Kausha damu ni mikopo ya yenye urahisi sana upatikanaji wake. Ina vigezo na masharti nafuu sana yanayowezekana kwa wakopaji wengi. Kwa upande moja inasaidia sana watu wenye shida na malengo ya kujiunua kiuchumi, na wanafanikiwa bila wasiwasi. Kwa upande mwingine ni mateso, vilio na kusaga meno...
www.jamiiforums.com
Mikopo ya kausha damu ipo mtaani, tuwe makini
Dakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia...
www.jamiiforums.com