Hivi ni kwanini Wanawake ndio wanaongoza kuanzisha Mahusiano Mapya ndani ya Mda mfupi tu baada ya kuachana na Mpenzi wake?

Fanya hivi nilichitwa 2013 hadi 2019 nilimpata mjibababa for 4 month akataka niwe second wife nikakataa akaja mmoja nasijadumu naye wala tokea hapo 2019 hadi now sina uhusiano mzuri na mtu kweli hadi sasa. Miaka 12 sina wa kwenda msikitini wala wa kwenda kanisani
Sasa cha kufanya....,usiangaike na wa humu mpenz....mkubalie mmoja wa mtaani kwenu au Kanisani kwenu mama
 
Habar Mwanajukwaa la Mahusiano.

Kuna jambo nimelifatilia sana ila sijapata majibu shida hua ni nini haswa?

Yani Mwanamke A anakua yupo kwa mahusaiano na mwanaume B ikitokea A Na B wakaachana Hua haichukui Round Mwanamke unasikia ana Mtu wake Mwingine tena mbaya zaidi Asilimia kubwa unakuta akiachwa ndani ya Mda mfupi anakua na wanaume zaidi ya mmoja.

Akiulizwa utasikia hapa nipo naangalia nani atanifaa.
Nimeamua niulize hapa Sababu hua ni nini wanawake kuwahi vile na zaidi anakua nao wawili au zaidi at the same time.

In other side washikaji au Mwanaume utakuta anaendelea na Life Lake kama kuna kitu alipoteza kwa ajili ya yule Mwanamke au Demu utakuta anapambana tena kukipata mfano alikua amewekeza sana kwake Fedha hata vitu vya gharama mda huo utasikia anakwambia tulia nipambane kwanza nitafte kingine then nikishapata ndio nitachek Demu Mwingine au utakuta yupo na wanae tu anakula good time.

Eti Wanajukwaa Issue ni nini upande wa wanawake na wanawake wenyewe mpo humu issue hua nini nyie?
Ni kwa sababu ipo reserve list. Na hii list muda wote inapiga jaramba. Akiumia mchezaji kiwanjani nadhani huwa mnawaona
 
Sure.

Na hiyo ni mindset tu ambayo tumemjengea. Tangu utoto

Tangu utoto binti anaambiwa her ultimate goal is to get a man and get married.

Hivyo, muda wote wa maisha binti anajiandaa kwa jambo hilo tu, ndio lengo kuu la maisha, regardless amesoma hadi wapi ama ana cheo gani.

Mila, tamaduni na dini zote xinamwambia hivyo, kwa sababu ya moral decay anashindwa kummantain mmoja,

Akiachana na huyu anatafuta replacement haraka.

Leejay49 alifurahi sana hadi kuanzisha uzi baada ya kupata replacement, na alisema hakuwa na furaha wala amani bila kuwa kwny mahusiano.
Umenikumbusha To yeye naye alianzisha uzi hivi juzi kuelezea furaha yake kwenye eneo hilo.

Sasa hii tabia imeanza kuambukizwa kwa wanaume hususan wanaokua kwa sababu tunaona matendo yenye uthubutu wa aibu kwenye mahusiano yao
 
Back
Top Bottom