Habari zenu ladies and gentles, natumaini mko poa popote pale mlipo.
Naomba kupewa mawazo, maoni, experience au ushauri juu ya hii changamoto ninayokutana nayo.
Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano huu tunaenda ni mwaka wa 3 sasa. Tulianza mahusiano vizuri sana, nilikuwa naenjoy chats and calls, it was romantic katika kila aspects.
Bahati mbaya mahusiano yetu ni long distance, mimi nipo Dar but yeye yupo mkoani Kanda ya Ziwa ameajiriwa huko.
Hatujawahi kuwa na mgogoro wa ku cheat, kwa maana ya hakuna aliyewahi kukutwa au kugundulika kama ana mahusiano ya nje, zaidi ni small conflict za mda mfupi tu.
But nowadays kuna mabadiliko sana, yaani hasa kwenye jinsi ya ku chat via messages, yaani si enjoy kabisa, anajibu text short, hataki story ziwe nyingi kwenye chats, sometimes hata calls zangu hazim-excite kabisa mkianza kuongea. It is not romantic anymore hasa kwenye chats and calls.
Sasa sijui shida ipo vipi? Maybe kuna tabia za wanawake bado sijazi understand. Ananionesha kuwa ananihitaji always, yupo tayari tufunge hata ndoa. Niliwahi kumtishia kuachana akaniomba radhi sana tuendelee. In fact, still kuna vitu anafanya vinaonesha still bado ana malengo namimi.
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, kuna muda nawaza nitafute mtu huku Dar nianze nae maisha kwakuwa siienjoy kabisa kwenye kuwasiliana na mtu wangu, lakini uamuzi huo siutaki kwakuwa bado nampenda na hajanipa sababu kubwa za kuachana na sina evidence kama anacheat.
Naomba kupewa mawazo, maoni, experience au ushauri juu ya hii changamoto ninayokutana nayo.
Nina mpenzi wangu tumeanza mahusiano huu tunaenda ni mwaka wa 3 sasa. Tulianza mahusiano vizuri sana, nilikuwa naenjoy chats and calls, it was romantic katika kila aspects.
Bahati mbaya mahusiano yetu ni long distance, mimi nipo Dar but yeye yupo mkoani Kanda ya Ziwa ameajiriwa huko.
Hatujawahi kuwa na mgogoro wa ku cheat, kwa maana ya hakuna aliyewahi kukutwa au kugundulika kama ana mahusiano ya nje, zaidi ni small conflict za mda mfupi tu.
But nowadays kuna mabadiliko sana, yaani hasa kwenye jinsi ya ku chat via messages, yaani si enjoy kabisa, anajibu text short, hataki story ziwe nyingi kwenye chats, sometimes hata calls zangu hazim-excite kabisa mkianza kuongea. It is not romantic anymore hasa kwenye chats and calls.
Sasa sijui shida ipo vipi? Maybe kuna tabia za wanawake bado sijazi understand. Ananionesha kuwa ananihitaji always, yupo tayari tufunge hata ndoa. Niliwahi kumtishia kuachana akaniomba radhi sana tuendelee. In fact, still kuna vitu anafanya vinaonesha still bado ana malengo namimi.
Naombeni ushauri wenu juu ya hili, kuna muda nawaza nitafute mtu huku Dar nianze nae maisha kwakuwa siienjoy kabisa kwenye kuwasiliana na mtu wangu, lakini uamuzi huo siutaki kwakuwa bado nampenda na hajanipa sababu kubwa za kuachana na sina evidence kama anacheat.