Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 16,103
- 39,235
Wee komah wee!!Kwa Afrika ajira namba moja ya mtoto wa kike ni kubanduliwa au kuwa mpenzi wa mtu.😂
Kupitia hio ajira ndio anapatamo vichenchi vya viwalo na kutambia mjini😁 ndio maana wanakuwa wakali sana wakipata waajiri ambao ni bahili au hawakati pochi!
Wengine tutoe hapo nyie sio ajira zetu…!! Ushindwreee kwa jina la Yesu 😂😂😂