Hivi ni Demokrasia gani inayopiganiwa na vyama vya Upinzani? Sioni Chama cha kukipa Nchi

RNA

JF-Expert Member
Mar 27, 2013
1,584
2,683
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.

Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?

Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.
Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?
Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.

Huoni chama Cha kukipa madaraka kutoka Upinzani, wakati serikali na ccm inakopa na kununua Viongozi kutoka Upinzani?. Leo Kuna wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi walichukuliwa kutoka Upinzani hasa chadema. Pia Kuna manaibu waziri walitoka Upinzani.

Unasema hivyo kisa Ni chama kimoja tu kimetawala nchi ndio maana.
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.
Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?
Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
ukomavu wa CCM ndiyo ule mnaoufanya NCCR Mageuzi siyo !!
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.
Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?
Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
Kwa akili matege yako matege unadhani ccm nao wanauwezo wa kuongoza Nchi au wanaibemenda Nchi
 
Huoni chama Cha kukipa madaraka kutoka Upinzani, wakati serikali na ccm inakopa na kununua Viongozi kutoka Upinzani?. Leo Kuna wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi walichukuliwa kutoka Upinzani hasa chadema. Pia Kuna manaibu waziri walitoka Upinzani.

Unasema hivyo kisa Ni chama kimoja tu kimetawala nchi ndio maana.
Mkuu kama kiongozi unanunulika basi Hufai kuwa kiongozi
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.
Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?
Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.

Jifunze na usikariri. Wewe unadhani chama ndio kila kitu, watu wa kuongoza ndio wamuhimu.Hapo tu Kenya tangu Uhuru vimetawala vyama vinne tofauti na wapo mbali kiuchumi na kisiasa kutuzidi.

KANU, NARC, PNU na Sasa Jubillee Party. Na Kuna uwezekano mwaka huu ukaingia Mrengo mpya wa aidha Kenya kwanza ya UDA au Azimio ya ODM na Jubillee. Kenya walishaacha kuabudu chama kimoja Kama sisi Tanzania ambako tunadhani Bila CCM hatuwezi ishi, tunaibudu CCM hata inapoonesha imeshindwa kutawala.
 
Jifunze na usikariri. Wewe unadhani chama ndio kila kitu, watu wa kuongoza ndio wamuhimu.Hapo tu Kenya tangu Uhuru vimetawala vyama vinne tofauti na wapo mbali kiuchumi na kisiasa kutuzidi.

KANU, NARC, PNU na Sasa Jubillee Party. Na Kuna uwezekano mwaka huu ukaingia Mrengo mpya wa aidha Kenya kwanza ya UDA au Azimio ya ODM na Jubillee. Kenya walishaacha kuabudu chama kimoja Kama sisi Tanzania ambako tunadhani Bila CCM hatuwezi ishi, tunaibudu CCM hata inapoonesha imeshindwa kutawala.
Huna akili
 
CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.

Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.

Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.

Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?

Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?

Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.

Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?

Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
Mjinga mkubwa kwani demokrasia maana yake chama cha upinzani kupewa nchi?
 
Huoni chama Cha kukipa madaraka kutoka Upinzani, wakati serikali na ccm inakopa na kununua Viongozi kutoka Upinzani?. Leo Kuna wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi walichukuliwa kutoka Upinzani hasa chadema. Pia Kuna manaibu waziri walitoka Upinzani.

Unasema hivyo kisa Ni chama kimoja tu kimetawala nchi ndio maana.
Ya ni kweli, si unaona hata watu ambao wangefika kwenye mikutano ya wapinzani walinunuliwa ili wasifike mikutanoni ktk uchaguzi mkuu. Kuwa chawa wa mwanaume mwenzio kwa kweli ni hasara kwa familia. Uzuri wa chawa, hautakiwi kuona aibu hata pale unapohitajika kuona aibu kwa uongo unaouandika.
 

Attachments

  • images (7).jpeg
    images (7).jpeg
    60 KB · Views: 9
  • images (19) (1).jpeg
    images (19) (1).jpeg
    34.1 KB · Views: 10
  • IMG-20220407-WA0040.jpg
    IMG-20220407-WA0040.jpg
    52.5 KB · Views: 10
  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    72.2 KB · Views: 9
  • images (9).jpeg
    images (9).jpeg
    45.7 KB · Views: 10
Ya ni kweli, si unaona hata watu ambao wangefika kwenye mikutano ya wapinzani walinunuliwa ili wasifike mikutanoni. Kuwa chawa wa mwanaume mwenzio kwa kweli ni hasara kwa familia. Uzuri wa chawa, hautakiwi kuona aibu hata pale unapohitajika kuona aibu kwa uongo unaouandika.
😂😂😂😂
 
Wewe au kilaza mwingine hatakiwi kuamua chama cha kukipa nchi, wananchi wengi kupitia tume huru ya uchaguzi ndio wanapaswa waamue chama gani kiongeze nchi.
 
Back
Top Bottom