CCM ni Chama ambacho kina misingi na utaratibu wa namna kinavyojiendesha ndio maana utaona viongozi wanaachiana madaraka kwa taratibu hizo.
Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.
Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.
Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?
Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?
Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.
Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?
Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.
Utasikia mtu kapita kwa asilimia 100, bila kupingwa etc.. ni taaratibu zao na Wanachama wao wanazipenda.
Huku kwetu upinzani Mtu akishaanzisha Chama au Kuwa kiongozi basi yeye atakuwa kila kitu .hakuna maamuzi ya maana yatafanyika bila yeye kuwepo.
Kuna wenyeviti wana zaidi ya miaka Ishirini madarakani na bado wanaendelea kuongoza Chama ,Swali mtu kama huyu akipewa Nchi atakubali toka Madarakani?
Kuna Chama mtu kajitafutia cheo anaitwa Kiongozi Mkuu yote hiyo vyeo vingine vinavyobadilika yeye asiguswe ,swali je hawa watu ni wazalendo au anaangalia Maslahi yake tu?
Kuna vyama Nenda rudi mgombea nafasi ya Urais ni huyo kiongozi wa Chama kana kwamba hakuna mtu mwingine wa kuweza simama.
Hivi ni demokrasia ipi iko Upinzani ? Mbona miundo yao ya uongozi na mbadilishano wa madaraka haueleweki na hauwi wazi?
Mimi ni mpinzani ila naona ni bora CCM iendelee kuwepo Madarakani mbali na kwamba imetufanya Maskini wa kutupwa kwa kila siku kutujazia Mafisadi na Kukosa Maono kwa Taifa kuliko sisi Wapinzani tunao hubiri kitu ambacho hakipo kwenye vyama vyetu.