Hii ni awamu ya uzinduzi kuna siku tutasikia wanazindua mlima Kilimanjaro.
Ni wivu tu
Nchi imeangukia kwenye mikono ya washamba! 🤣🤣🤣
Itakuwa Walialikwa Na Wanyama Kufanya Zoezi Hilo (Maana Yake Hata Wanyama Wanamkubali)
Subirini muone nyie vijana
Jpm anawaleleka puta sana hadi mnashindwa muandike nini
....sijawai kusikia popote dunNatatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
...walianza kuzindua hostel wakaenda matawi ya vichochoroni ya bank sasa wameibukia kwenye mbuga za wanyama!...kwa mwendo huo iko Siku watazindua jua kuwaka asubuhi...ukifikilia sana kwa matendo ya watawala wa kiafrika unaweza kukubaliana kweli mtu mweusi alitokana na nyaniNatatizwa mno na utimamu wa akili wa ndugu zetu wanaoongoza serikali ya Awamu ya 5...
Baada ya vituko lukuki na matukio ya hovyo sasa wameamua eti kwenda "kuzindua" mbuga ya wanyama - hivi mtu anazinduaje mbuga? Kwanini hao wanyama hawakupajua hapo kabla?
And by the way, wanyama wamealikwa?
Kama wanyama hawajaalikwa na hawatashiriki ndo hapo tujiulize kati ya walengwa ambao ni wanyama na wazinduaji nani ana akili...
Wangekuwa binadamu tungesema wamekuwa wakimbizi wa ndani, bila sababu za msingi.Haki ya mnyama ni kuishi anapotaka, yaani maeneo yao ya asili - kuwapeleka sehemu ambayo si asili yao ni ukiukwaji mkubwa wa haki za wanyama.
wazindue na homa ya dengue maana ni mpya huku mjini.Hahahaha ! Kuna siku watazindua msimu wa mvua
Mbuga itabadilishwa jina na kuwa Magufuli National Park
Ebu tusaidie hao marais waliozindua mbuga kwa majina na mbuga walizozindua...ujinga ututoke
Call them whatever. Ila kaa ukijua Utalii ni Biashara na Biashara ni matangazo. Anachofanya JPM ni matangazi. Mbuga itajulikana kila kona ya Dunia sasa.Mkuu naomba usishangae kabisa.. Watu wa jamii za kule wanaweza kuzindua hata baiskeli au mashine y kusaga..
Tena gharama za tukio zikawa kubwa kweli kweli kuliko hata kipato cha mzinduaji..!!
Naomba tu mjiandae kisaikolojia; kule Chato shughuli za uzinduzi zitakuwa baab-kubwa na zaidi ya yote jukwaa la kuwaponda wote wenye wivu, "mabeberu na mawakala wao"!
My take: kwa kuwa hii ni awamu ya washamba... hakuna maajabu tutaacha kushuhudia.. And very soon watazindua Ziwa Victoria!
Watanzania na waafrica in totally tunahitaji kufanyiwa, brain transformation.... Kuzindua mbona kama siyo big deal? Mbona sioni siasa hapo tofauti na ulicho kisema?
Rais aende akatalii aende na waandishi wa habari kabisa like serious hahaha big jok mkuu, kuanzisha kampeni ni gharama na upigaji wa hela tu hakuna jipya hapo..... Bora alivyo zindua
Wachache wenye uelewa mzuri kama wako.Watoto wadogo kama ninyi kuuliza ni vizuri maana mambo mengi mumeyakuta yalishafanyika zamani.
Ni muhimu kuzindua na ndio kutangaza utalii kwenyewe.
Wanyama wanahamishwa na kupelekwa maeneo tofauti tofauti duniani kote.
Wengine wanachukua toka nje ya nchi ili kuzalisha na kurudisha.
Si useme Rais gani amezindua mbuga...Mmmmmh labda kwako, tembeeni mjionee dunia inavyoenda
Mkuu naomba usishangae kabisa.. Watu wa jamii za kule wanaweza kuzindua hata baiskeli au mashine y kusaga..
Tena gharama za tukio zikawa kubwa kweli kweli kuliko hata kipato cha mzinduaji..!!
Naomba tu mjiandae kisaikolojia; kule Chato shughuli za uzinduzi zitakuwa baab-kubwa na zaidi ya yote jukwaa la kuwaponda wote wenye wivu, "mabeberu na mawakala wao"!
My take: kwa kuwa hii ni awamu ya washamba... hakuna maajabu tutaacha kushuhudia.. And very soon watazindua Ziwa Victoria!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Subirini Simba afyatuke huko aliko aondoke na ama Kalio au Kolomero la Mkemia ndipo mtajua Wanyama huwa hawatanii Mbugani.