Nilisikia kuna mwingine alipelekwa kuwa procurement officer TCRAKama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu sipika?View attachment 2135563
We ni Mbwa tu hujui maana ya mlinzi wa raisi
Kati ya ng'ombe na mbwa nani anapendwa na boss wake?So ulitaka akae bila kazi..?
Acha ushamba wa kiboya ndugu unakuwa unaakili Kama za ng'ombe bhana! Tumia kichwa yako vizuri
Ng'ombe acha fujo.We ni Mbwa tu hujui maana ya mlinzi wa raisi
Jiwe alipenda kumuita jamaa "Alhaji"Kama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu sipika?View attachment 2135563
Ulitaka awe mlinzi wako?Kama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu sipika?View attachment 2135563
Hao watu pesa za kujenga sio tatizo kwao, per diem za ziko juu enzi zile za hayatiHuyo alhaji alipewa kiwanja chato akajenga mjengo sijui nani snaishi huko sasa
Kazi za usalama ndio zilivyo unaweza ukawa sehemu nzuri kiongozi akifa au akistaafu unaweza kutupwa kwenye malindo huyo bahati yakeKama ni kweli wale tulio kwenye ulinzi jiuzuluni tafadhali sanaaa huyo hapo chini alikuwa mlinzi wa Magufuli sasahivi ni mlinzi wa Naibu sipika?View attachment 2135563
Huyu alipelekwa siku nyingi sana, tena kabla ya 2020.Nilisikia kuna mwingine alipelekwa kuwa procurement officer TCRA
Alhaji hebu na wewe changia kidogo ujenzi wa msikiti huu wa Chamwino. Toha ahadi hapahapa.. CCM oyee Chamwino oyee.Jiwe alipenda kumuita jamaa "Alhaji"
Au nasema uongo ndugu zangu?Alhaji hebu na wewe changia kidogo ujenzi wa msikiti huu wa Chamwino. Toha ahadi hapahapa.. ccm oyee Chamwino oyee.