Hivi Mange ni tishio kuliko Snowden?

Hivi Mange ni tishio kuliko Snowden?

Mange hana kosa, wenye makosa ni wale waompa siri ndani ya dola (kosa kwenye nchi zote duniani), hao ndio wakushughulikiwa..
Ila angeacha matusi, utoto, kutukana na misengenyo, kwa kweli angepata followers wa maana zaidi..
 
hahahaha duuu hapa ndio huwa naamini chadema imejaa wajinga
Ujinga ni nn tafuta maana yke ndio utajua yupi mjinga tatizo lenu wenye vyama au niseme mliokuwa kwenye vyama siasa hataki kbs kutusikiliza sie ambao atuna chama chchote kiu kweli sie ndio wengi ktk Tanzania yetu lazima tuseme ukweli mnapotupeleka sipo na vyama vyenu nchi inaongozwa kwa kufata katiba na sheria sio mawazo tu ya mtu...
 
Acheni kumfanisha Snowden na mambo ya kijinga.
 
Mange ni mbeya na anatumiwa infor na watu kutok serikalin achana kabisa na Snowden, habari yake ni ndefu
 
Mange ni Tishio kwa Jpm na Snowden ni Tishio kwa USA.

Ila huwezi kuwalinganisha kwa uwezo wao binafsi Bali uwezo wao katika nchi zao na impacts zao.
 
Acheni kumfanisha Snowden na mambo ya kijinga.

Mange ni mbeya na anatumiwa infor na watu kutok serikalin achana kabisa na Snowden, habari yake ni ndefu

Mange ni Tishio kwa Jpm na Snowden ni Tishio kwa USA.

Ila huwezi kuwalinganisha kwa uwezo wao binafsi Bali uwezo wao katika nchi zao na impacts zao.
Msichangie kwa kusoma kichwa cha habari tuu! Someni na maudhui
 
Issue ya new daddy in town imechangia timbwili hili kwa kiasi ki kubwa.
 
Je na Nyarandu alinunuliwa kwa sh ngapi ! Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu muchungu kwani matusi ya mange yanaisaidia nini nchi wewe kama ni jasiri fungus act ya matusi hatuna muda huo kwa sasa hapa ni kazi tu
nyie shangilieni tuu humu (kama) hamna akili lakini mwisho wa siku matokeo yake yatatukumba wote
 
Kufananisha KILIMANJARO na KICHUGUU

SNOWDEN is another, anafunua zile za ukweli, na pia ana uhakika nazo, wakati mwingine mara kadhaa tu analeta habari zisizo na chembe ya ukweli

"UROPOKAJI" sio kwamba wewe ndo umezitafuta na kuzitoa.......

SNOWDEN IS ANOTHER
 
Siwezi kumfananisha mange kimambi na whistle blower kama snowden
 
Kufananisha KILIMANJARO na KICHUGUU

SNOWDEN is another, anafunua zile za ukweli, na pia ana uhakika nazo, wakati mwingine mara kadhaa tu analeta habari zisizo na chembe ya ukweli

"UROPOKAJI" sio kwamba wewe ndo umezitafuta na kuzitoa.......

SNOWDEN IS ANOTHER

Siwezi kumfananisha mange kimambi na whistle blower kama snowden
 
Edward Snowden - Wikipedia

1.Mfanyakazi wa CIA leo umfananishe na "mtukanaji" wa the so called BONGO SUPER STARS?
2. 50,000 to 200,000 high profile documents alizotoa SNOWDEN utafananisha na ngapi za Mange?
3. He has stated that his career high annual salary was $200,000
4. Mtu ambaye ukimtaja leo dunia nzima inamjua eti tumfananishe na mtu ambaye ni WAPENDA UBUYU na wapenda siasa maji masafi tu ndo wanamjua

ANYWAY KIPENDA ROHO HULA NYAMA MBICHI.......
MANGE NI ZAIDI YA SNOWDEN
 
Edward Snowden - Wikipedia

1.Mfanyakazi wa CIA leo umfananishe na "mtukanaji" wa the so called BONGO SUPER STARS?
2. 50,000 to 200,000 high profile documents alizotoa SNOWDEN utafananisha na ngapi za Mange?
3. He has stated that his career high annual salary was $200,000
4. Mtu ambaye ukimtaja leo dunia nzima inamjua eti tumfananishe na mtu ambaye ni WAPENDA UBUYU na wapenda siasa maji masafi tu ndo wanamjua

ANYWAY KIPENDA ROHO HULA NYAMA MBICHI.......
MANGE NI ZAIDI YA SNOWDEN
Ushauri huu uwafikie wanaohangaika naye usiku na mchana
 
Edward Snowden - Wikipedia

1.Mfanyakazi wa CIA leo umfananishe na "mtukanaji" wa the so called BONGO SUPER STARS?
2. 50,000 to 200,000 high profile documents alizotoa SNOWDEN utafananisha na ngapi za Mange?
3. He has stated that his career high annual salary was $200,000
4. Mtu ambaye ukimtaja leo dunia nzima inamjua eti tumfananishe na mtu ambaye ni WAPENDA UBUYU na wapenda siasa maji masafi tu ndo wanamjua

ANYWAY KIPENDA ROHO HULA NYAMA MBICHI.......
MANGE NI ZAIDI YA SNOWDEN
Ushauri huu uwafikie wanaohangaika naye usiku na mchana
 
Back
Top Bottom