Mange Kimambi ni zaidi ya CIA?

Mange Kimambi ni zaidi ya CIA?

Baba mtakatifu91

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2026
Posts
3,613
Reaction score
7,497
Huyu Mange ni zaidi ya CIA anajua kucheza na akili za wadanganyika.

Katika kipindi ambacho serikali, wapinzani na wananchi wanadai katiba Mange Kimambi awa kinyume na makundi yote akidai matusi aliyokuwa anatoa ilikuwa ni mental health problem iliyosababishwa na utumiaji wa madawa ya kulevya.

Tupambanie katiba au tutoke kwenye reli? Tumsubirie Mange Kimambe apone kwanza au Tumuombee msamaha kwa Mh. Rais? Huenda Mange ni double agent anayecheza na akili za watanzania
 
Mange Kimambi amewafanya vijana wa Kitanzania kama vichwa vya wendawazimu.
Let's look at this.

Mwaka jana aliitisha maandamano USA, ikumbukwe USA anasema Kuna haki na uhuru wa kutoa maoni lakini yeye mwenyewe hakutia mguu kwenye maandamano hayo huko kwenye uhuru na haki. Zaidi tu alikaa mbali akichukua picha.

Ila huku ambako anasema hakuna haki wala uhuru wa kutoa maoni na kuna police wauaji anawataka watoto wa watu waingie front.

Kweli zaidi ya 75% ya Watanzania ni wehu.

Baba mtakatifu91
 
Mwanasheria wa Serikali alisema atamrejesha Mange KIMAHAKAMA, iliishije???
 
Huyu Mange ni zaidi ya CIA anajua kucheza na akili za wadanganyika.

Katika kipindi ambacho serikali, wapinzani na wananchi wanadai katiba Mange Kimambi awa kinyume na makundi yote akidai matusi aliyokuwa anatoa ilikuwa ni mental health problem iliyosababishwa na utumiaji wa madawa ya kulevya.

Tupambanie katiba au tutoke kwenye reli? Tumsubirie Mange Kimambe apone kwanza au Tumuombee msamaha kwa Mh. Rais? Huenda Mange ni double agent anayecheza na akili za watanzania
Pambaneni sana wakati huu mpate katiba mpya.
 
Back
Top Bottom