Utapimwa mkojoHapana usiihukumu nyumba kwa mtazamo wa nje utapotoka na kupotoshwa milele
Jumamosi jayo kibaha basi na hamu zote [emoji85] [emoji85] [emoji85] zote zote
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji144] [emoji144] hapana kabisa after all nitakachotumia ni kipande tuu[emoji3] [emoji115] [emoji123]Hahahahaaa yeeey .... itabidi mipango mingine isifanyike hapa sebleni, iwe chumbani.
Asante kwa mualiko rasmi. Kasie matata on the way to Kibaha. Ila usinifanyie dawa nikalowea na kumsahau dadii hehehehehe.
Jukwaa la uchawi nadhani unalimudu vilivyo... Alafu kingine jaribu kutenga mafungu mafungu ya habari kumvutia msomaji... Yan unaandika ata mistari mitano yenye maana sawa zen unaruka[emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji120] nipo napatikana japo si sana... Kule ndio lango siwezi kukuacha
Napendelea kuwa na paragraph zinazoacha maswali fikirishi ndio aina ya uandishi wangu... Ila naweza kubadilika asante kwa angalizoJukwaa la uchawi nadhani unalimudu vilivyo... Alafu kingine jaribu kutenga mafungu mafungu ya habari kumvutia msomaji... Yan unaandika ata mistari mitano yenye maana sawa zen unaruka
Unabananisha mnoo mkuuu.. Habari inakua nzuri ila haivutii kusoma..Napendelea kuwa na paragraph zinazoacha maswali fikirishi ndio aina ya uandishi wangu... Ila naweza kubadilika asante kwa angalizo
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji144] [emoji144] hapana kabisa after all nitakachotumia ni kipande tuu[emoji3] [emoji115] [emoji123]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]Hahahahaaa yaani wewe, hako kaki pande ndo inakuweje? Katanifanya nilowee kibaha hadi mwaka mpya au ntakaa siku tatu tuu?
Ati utakachotumia ni kipande tuu... cha dawa? Bora tuazime bangi kwa Mentor tuvute wote tuwe stimu juu.
Slimy ya ccm imetupa ufa kama mimi nnavyopata shida ya kingereza japo nna bachelor yanguNi kwa vile tumezoeshwa kutafuniwa kila kitu.. Hatuna muda wa kufikiri ama kufanya tafakuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Kama alivyokuwa tishio kwa nyumbu wapumbavu alipokuwa akimtangaza mamvi kuwa kajinyeaMange ni tishio kwa wapumbavu wa CCM wasiopenda haki
Shida kubwa itakuwepo katika uhakiki wa vyeti! Atatumia vyeti gani? Au ndo atatumia sifa za Maji Marefu na Kibajaji?View attachment 643152Mange kazi yake yeye ni kupokea habari kama zilivyo na kuzirusha.. Hahangaiki... Ukiona hivyo ujue system imejaa matobo... Hakuna kitu kinachoitwa tight mark... Hakivuji chochote