Kizazi kipi, cha Makonda?
Unafiki na uongo huleta laana ya kudumu. Mzee Lowasa amesingiziwa saaana. Ilikuwa ni wivu tuu kwa vile Watanzania hatupendi elites [werevu].
Hadi leo tofauti na wengine hatujawahi kuambiwa Mzee Lowasa alifisadi fedha kiasi gani!!!!. Za Escrow, Meremeta nk tuliambiwa na wahusika ni kina nani.