Hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya
what about MZURI MIMI!uuuuwih nakondaaaje na hawa watoto wa kiume wanazaliwa kizazi hiki jamani!
baba zao wanaliona hili lakini? Dark City vipi? Mtambuzi mnaliona hili ? Kaizer jahazi laenda mrama huku Asprin wapi kile kizazi mlichoachiwa na baba zenu? Mkusa msipoangalia itabidi mrudi tu barabarani i seee! Jiwe Linaloishi hapa pana kazi mjue! Nicas Mtei shemeji kule mgombani tutapata wa kuwaachia viamba kweli? watu8 man pride inaishia wapi siku hizi? SnowBall pacha ujue mtabaki wenyewe muda si mrefu watoto wenu washindanisha unyoofu wa nyusi huku! The Boss vipi jamani!tunahisi tyt zinapungua madukani huku! moto2012 umetulia tu vijana wanakaa masaa mawili kwenye vioo!
vipi jamani tunafanyaje na hiki kizazi!
Nilifikiri Original comedy walishazungumza hilina linatosha?
kumbe bado?this is sad
wala si utani!yani mi niseme nyusi zangu nzuri na mwanaume nae aseme nyusi zangu zimenyooka vizuri!lol mbona kazi yailahi!
eti enh!ila unafikir naweza kupata hata dk na mtu wa aina hii!ukiona anajisifia hivyo....wewe sema 'aahhh mbona kitaambo yulee'
watu wataelewa lol
Hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie
Naomba nielekeze makao yenu makuu mlipo NATAKA KUTOA UFADHILI MNONO KWA CHAMAAAA!!!!! Ni pm adress yenu. IM SRIOUS!!!!!!!!!!
eti enh!ila unafikir naweza kupata hata dk na mtu wa aina hii!
yani enzi zangu zilee za ubinti akija mtu na madesign haya ya unajua mimi sijui nina hiki nini!au si unajua nilivyo handsome ahaargh!nachukiaaaje!
sijui kwanni nilivoona hata kabla ya kusoma nilijua na we ni wale wale!Not trying to be arrogant, but if I walked down the street and a girl saw me, she might take a look back because maybe I'm good-looking, right?
by the way watch the video below
Dating Techniques - Science of Attraction - YouTube
Uamwambia 'ma handsome wanatafutwa mombasa' lol
what about MZURI MIMI!uuuuwih nakondaaaje na hawa watoto wa kiume wanazaliwa kizazi hiki jamani!
baba zao wanaliona hili lakini? Dark City vipi? Mtambuzi mnaliona hili ? Kaizer jahazi laenda mrama huku Asprin wapi kile kizazi mlichoachiwa na baba zenu? Mkusa msipoangalia itabidi mrudi tu barabarani i seee! Jiwe Linaloishi hapa pana kazi mjue! Nicas Mtei shemeji kule mgombani tutapata wa kuwaachia viamba kweli? watu8 man pride inaishia wapi siku hizi? SnowBall pacha ujue mtabaki wenyewe muda si mrefu watoto wenu washindanisha unyoofu wa nyusi huku! The Boss vipi jamani!tunahisi tyt zinapungua madukani huku! moto2012 umetulia tu vijana wanakaa masaa mawili kwenye vioo!
vipi jamani tunafanyaje na hiki kizazi!