Hivi kwanini TANZANIA ma'handsome' wachache?

Hivi kwanini TANZANIA ma'handsome' wachache?

nina mashaka na kauli yako, mimi hapa ni Padri wa kibongo lakini mbona waumini wananishobokea kinoumah na ninabadilisha waimba kwaya kama bodaboda alafu siwapi hata senti zaidi ya kuwaambia waongeze sadaka.
 
Hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie

Wewe nawe! mwanaume si pambo la kukuvutia uwapo nae, mwana mke ndo maua yanayopaswa yavutie na kupendezesha maadhara ya Dunia! Mwanaume handsome ndo mwanaume wa aina gani hyo? je vigezo gani vina determine mwanaume handsome?

Tatizo linakuja kwa wanawake BEAUTIFUL tanzania ndo kama wamepungua hwapo tena! Vipodozi vimewaharibu kabisa, makalio ya kichina ndo kabisaaaa utakuta mwanamke umeungua utadhani umeokolewa kwenye ajali ya basi la Muhammed Tranz!? Mabinti nao ndo huko wanaelekea wanapaka cream wapate kungaa badala yake wanakuwa vinyago kama si vikaragosi!
wanawake tanzania wamekuwa wa kuesabu weye natural ingredients waliopewa na Mwenyezi Mungu! wanaume ni wachache sana wanao toa natural colour yao hivyo uvutia kwa hio natural colour walionayo!
 
Wewe nawe! mwanaume si pambo la kukuvutia uwapo nae, mwana mke ndo maua yanayopaswa yavutie na kupendezesha maadhara ya Dunia! Mwanaume handsome ndo mwanaume wa aina gani hyo? je vigezo gani vina determine mwanaume handsome?

Tatizo linakuja kwa wanawake BEAUTIFUL tanzania ndo kama wamepungua hwapo tena! Vipodozi vimewaharibu kabisa, makalio ya kichina ndo kabisaaaa utakuta mwanamke umeungua utadhani umeokolewa kwenye ajali ya basi la Muhammed Tranz!? Mabinti nao ndo huko wanaelekea wanapaka cream wapate kungaa badala yake wanakuwa vinyago kama si vikaragosi!
wanawake tanzania wamekuwa wa kuesabu weye natural ingredients waliopewa na Mwenyezi Mungu! wanaume ni wachache sana wanao toa natural colour yao hivyo uvutia kwa hio natural colour walionayo!
safi sana...hii imekaa vizuri...wanawake wengi (sio wote) these days veeeeery plastic...nothing interesting to look at!
 
Back
Top Bottom