Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 10,590
- 7,951
Yani hata mi naskitika tuko wachache kweli mahandsome!! Chama chetu cha mahandsome tumefanya audition kupata watu lakn kila wanaokuja hawakidh vigezo *heheh*
Sikia kijana. Mwanamme hatakiwi na si lazima awe handsome kiasi kwamba hata jamii inamshitukia kwa ushoga. Mwanamme inabidi aridhishe na kuwa na mvuto wa kiume si uzuri wa kidemu kiasi kwamba hata wewe mwenyewe ukitembea na demu unajiona ni mzuri kuliko demu. Kawaida wanaume wa namna hii wana psychological problem mfano wa Ben Kinyaia, wa kujiona na kujifananisha uzuri na kila demu afanyaye kazi naye. Sasa nikuulize, huu ni ujiko ama ujinga? Ushoga mara nyingi unakuja kwa njia kamaa hii ya Ben Kinyaia na bahati nzuri hapa bongo mabrotherman mashoga jamii ya Ben wako wengi mno, yaani karibia kila kona ya nchi na Ben ndo role model wao. Kwako wewe mleta mada (nahisi ni demu kama si shoga), ungependa kutoka na Ben Kinyaia ama jibaba la nguvu lenye mvuto wa kiume?