Hivi kwanini TANZANIA ma'handsome' wachache?

Hivi kwanini TANZANIA ma'handsome' wachache?

Labda mnitoa kwanza ushamba.. hivi 'handsome' ni nini? au ni sifa zipi/au muonekano upi huwa nao mtu hata akastahili kuitwa 'handsome'? mie huwa naangalia zaidi eneo dogo tu, mkono wake wa utoaji... yuko liquid?? je ana hadhi/hali gani in between two legs? vigezo hivyo vikipata maksi za kutosha, huku kwingine hakuna tatizo ! sura, umbile, urefu ufupi yote kwangu ni longolongo tu
 
He he , ila watu wa moshi arusha ni mahandsome, nenda mbeya, kigoma, mwanza U ta ki mbia.
 
Mimi sijawahi kuangaika kumtongoza msichana. Huwa wanajilengesha wenyewe so nawapata kiulaini na hii yote ni kwa sababu mm ni HB.
 
Ma Handosme watatoka wapi kama hakuna wanawake wazuri wakuwazaa :biggrin1:
 
hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza ushoga. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie

mie imenigusa haswaaa...!!
Ila i dont care,si nina vijsenti??
Sura yangu mbaya kweli,ila nimesoma,ninajiweza nimeoa mke mrembo
mungu anipe nin sasa??
Maisha swaaafi kabisaa...
 
Hiv jamani mbona bongo
tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na
sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia
inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia
faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi
kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi
mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie

Kamulize mamako alimpendea nini babako, ndo urud na tafiti zako za kichup.
 
Hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie

Unachanganya handsome na beautiful; kwa kawaida mwanamme hapimwi kwa uzuri ni kile alicho nacho kama pesa, kipaji nakadhalika....huamini kaangalia warembo wa Mike Tyson na wengineo.
 
mwanaume hasifiwi sura,
mwanaume hasifiwi kula,
mwanaume hasifiwi kuoga na kupaka mafuta,
mmemuona jk mlomsifia kuwa mmepata rais handsome, mtanashati, mwenyemvuto, wa kuchekacheka ... yamewatokea puani
mwanaume kazi bana, mwanaume kitandani, mwanaume wallet yaani mfuko, mwanaume maamuzi, mwanaume msimamo

Hii mada nimecheka hadi basi lol!
Kina kaka mbona mmecharuka sana kusikia hii habari ya uhandsome?kUMBE NANYI HAMPENDANI EHH?
MNAWAONEA GERE WENZENU MAHANDSOME?!

Kwanza DEFINITION YA HANDSOME NI NINI?
 
Unachanganya handsome na beautiful; kwa kawaida mwanamme hapimwi kwa uzuri ni kile alicho nacho kama pesa, kipaji nakadhalika....huamini kaangalia warembo wa Mike Tyson na wengineo.

Msijidanganye bana........
Mnataka kusema kila mwanaume anayependwa hata kama hana mvuto huo mnaoupiga vita hapa, basi hapendwi?

Kuna kitu hamkisemi.... kupenda hakujalishi UZURI/UTANASHATI
Wakati nyie wanaume mnashobokea wanawake wazuri mjue kuna wanawake wanaoshobokea wanaume "wazuri" pia.
Uchaguzi ni wa mtu binafsi.Hakuna KANUNI.
 
Msijidanganye bana........
Mnataka kusema kila mwanaume anayependwa hata kama hana mvuto huo mnaoupiga vita hapa, basi hapendwi?

Kuna kitu hamkisemi.... kupenda hakujalishi UZURI/UTANASHATI
Wakati nyie wanaume mnashobokea wanawake wazuri mjue kuna wanawake wanaoshobokea wanaume "wazuri" pia.
Uchaguzi ni wa mtu binafsi.Hakuna KANUNI.

Avatar yako pendaaaa
 
Hahahahhaa, jamaniii umefanyia research mji gani hapa tanzania?
 
being handsome as far as I understand...I repeat as far as I understand, is sth very subjective...hutegemea anaetizama ni nani...though nakubali kwamba wanaume wengine huwavutia wanawake wengi kwa huo muonekano wao

ila kuna uzuri alafu kuna mvuto n this applies to both (men n women)...uzuri (the fact of being handsome or beautiful) matters somehow ila not as much as mvuto (attractiveness) does. hivi haujawahi kuona mwanamke au mwanaume wa kawaida tu but u just can't find urself stop looking at her/him? now that's mvuto. if u ask me, that matters a lot. mara nyingine unaweza kutana na mwanamke/mwanaume (for the sake of the mada) ambaye ni kama hana "kasoro" ila ukimuangalia once unageuza uso wako against where s/he is coz ushachoka kumtizama n u can't really explain y? ni kwamba huyo mtu yawezekana ni "mzuri"/handsome ila hana mvuto.


na mara nyingi mvuto wa mtu waweza kuongezeka au kupungua depending on a number of factors. one major factor I know ni finances za kumuwezesha mtu kujipenda. hapa simaanishi kwamba mtu awe extraordinarily loaded, nazungumzia kipato cha kawaida tu cha kumfanya mtu ajitunze tu. haihitaji mtu awe bosi, hata mwanafunzi anaiweza hii.


wanaume wengi tunatumia msemo "mwanaume anasifiwa kazi" veeeeeeery true...ila isiwe to the extent ya kujisahau maana hata wale comedians wanaosema hivyo husema wakiwa wamevalia suti za maana tu!


mwanaume anaweza kuongeza mvuto wake kwa kufanya vitu basic tu kama; kuzingatia kuoga na the smell of ur breath, kutumia deodorants na colognes (wanawake wanapenda wanaume wanaosmell vizuri ila sio ndio unapuliiiiiiiiza mpk unakuwa kijikejike), kata nywele na nyoa ndevu zako kwa mtindo ambao unaendana na kichwa na sura yako (trust me this really works), vaa nguo ambazo rangi zake hazina ugomvi na skin tone yako (chagua rangi zinazoenhance skin tone yako) n for crying out loud put on stuff ur size (wengine mvuto wao hupungua hapa, kwa kuvaa vitu oversize, kuvaa suruali zinazovutika juu kwa hapa katikati, doooh zinaharibu sana aisee) the same goes for shoes...bila kusahau kuwa na utamaduni wa kubadili boxer,vests na socks daily...expression za uso nazo zinaingia, some look their best when they smile often ila kwa wengine serious looks (I dnt mean kufura all the tym please) make them look more attractive (kazi kwako kujijulia), the way unavyotembea (wengine wanatembea kimzigomzigo) n the way u talk (wengine wanapenda kushout alafu wanayoongea yanaweza kuwa si ya maana kivile, ubishi usio na maana, kwa wanawake watu wa namna hii ni persona non grata)
tunakosea sana tunapofikiri kujipenda inatufanya kuwa feminine bana. we jipende kama hivo alafu uniambie....of course sasa na wallet ikiwa nene ndio utafananishwa na Morris Chestnut, Denzel au William Levy n.k...jipatie tu, zingatia mvuto uhandsome ni vitu vya kuzaliwa navyo bana...ishu mvuto
 
Umenichekesha...

Nimekumbuka nilikuwa naangalia clip moja ya harusi ya staa wa Nigeria...bwana harusi na wapambe eti wamevaa miwani ya jua ndani ya kanisa...nikiangalia akina P square na staa wengine pia wanapenda sana kuvaa miwani ya jua kwenye kila picha karibia.

Mnaijeria mmoja akauliza hivi sisi wanaijeria ni washamba au nini...mbona tunashoboka sana na miwani...

mwingine akacomment kuwa ni kwa sababu hawa vijana wetu wote wana macho mabaya mekunduuuu...sababu ya kupigwa vumbi; inabidi wayafiche.

Nikagundua kuwa kila nchi inapenda kupiga vijembe wanaume wao.
 
Waache wajipe moyo...wadada wana chop money from those 'wallet' na bado wanakuwa na handsome pembeni wa kula walizo chop kwa ugly men.

Utasikia nina pesa naweza kuwa na mwanamke yeyote nimtakae....kumbe unaweza kuliwa pesa na mrembo yeyote na si lazima awe amekupenda.

Msijidanganye bana........
Mnataka kusema kila mwanaume anayependwa hata kama hana mvuto huo mnaoupiga vita hapa, basi hapendwi?

Kuna kitu hamkisemi.... kupenda hakujalishi UZURI/UTANASHATI
Wakati nyie wanaume mnashobokea wanawake wazuri mjue kuna wanawake wanaoshobokea wanaume "wazuri" pia.
Uchaguzi ni wa mtu binafsi.Hakuna KANUNI.
 
being handsome as far as I understand...I repeat as far as I understand, is sth very subjective...hutegemea anaetizama ni nani...though nakubali kwamba wanaume wengine huwavutia wanawake wengi kwa huo muonekano wao

ila kuna uzuri alafu kuna mvuto n this applies to both (men n women)...uzuri (the fact of being handsome or beautiful) matters somehow ila not as much as mvuto (attractiveness) does. hivi haujawahi kuona mwanamke au mwanaume wa kawaida tu but u just can't find urself stop looking at her/him? now that's mvuto. if u ask me, that matters a lot. mara nyingine unaweza kutana na mwanamke/mwanaume (for the sake of the mada) ambaye ni kama hana "kasoro" ila ukimuangalia once unageuza uso wako against where s/he is coz ushachoka kumtizama n u can't really explain y? ni kwamba huyo mtu yawezekana ni "mzuri"/handsome ila hana mvuto.


na mara nyingi mvuto wa mtu waweza kuongezeka au kupungua depending on a number of factors. one major factor I know ni finances za kumuwezesha mtu kujipenda. hapa simaanishi kwamba mtu awe extraordinarily loaded, nazungumzia kipato cha kawaida tu cha kumfanya mtu ajitunze tu. haihitaji mtu awe bosi, hata mwanafunzi anaiweza hii.


wanaume wengi tunatumia msemo "mwanaume anasifiwa kazi" veeeeeeery true...ila isiwe to the extent ya kujisahau maana hata wale comedians wanaosema hivyo husema wakiwa wamevalia suti za maana tu!


mwanaume anaweza kuongeza mvuto wake kwa kufanya vitu basic tu kama; kuzingatia kuoga na the smell of ur breath, kutumia deodorants na colognes (wanawake wanapenda wanaume wanaosmell vizuri ila sio ndio unapuliiiiiiiiza mpk unakuwa kijikejike), kata nywele na nyoa ndevu zako kwa mtindo ambao unaendana na kichwa na sura yako (trust me this really works), vaa nguo ambazo rangi zake hazina ugomvi na skin tone yako (chagua rangi zinazoenhance skin tone yako) n for crying out loud put on stuff ur size (wengine mvuto wao hupungua hapa, kwa kuvaa vitu oversize, kuvaa suruali zinazovutika juu kwa hapa katikati, doooh zinaharibu sana aisee) the same goes for shoes...bila kusahau kuwa na utamaduni wa kubadili boxer,vests na socks daily...expression za uso nazo zinaingia, some look their best when they smile often ila kwa wengine serious looks (I dnt mean kufura all the tym please) make them look more attractive (kazi kwako kujijulia), the way unavyotembea (wengine wanatembea kimzigomzigo) n the way u talk (wengine wanapenda kushout alafu wanayoongea yanaweza kuwa si ya maana kivile, ubishi usio na maana, kwa wanawake watu wa namna hii ni persona non grata)
tunakosea sana tunapofikiri kujipenda inatufanya kuwa feminine bana. we jipende kama hivo alafu uniambie....of course sasa na wallet ikiwa nene ndio utafananishwa na Morris Chestnut, Denzel au William Levy n.k...jipatie tu, zingatia mvuto uhandsome ni vitu vya kuzaliwa navyo bana...ishu mvuto

😛oa....
 
Hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie
Hio ni research ndefu sana labda mimi ningekuuliza umetumia sampling unit kiasi gani? obvious lazima ufanye street, transect walks, wherever Tanzania nzima..kwenye mitaa yote au ukachagua baadhi ya mitaa for the whole regions of TZ, zen u must come with a valid number of hotguys against cold ones,, zen tuoneshe comparison kwamba namba ya wasio watanashati ime kua kubwa kuliko watanashati, sio kukurupuka na kusema wanaume watanashati Tz wachache,, i dought... what if mtaani kwenu ndo hakuna?? afu what evidence unazitumia kulink uso mbuzi na kununua makahaba? kila mtu ana hulka yake, kuna vijana watanashati lakini madomo zege pia wanajiingiza ktk kununua short time pussy, simply coz they can't talk that talk,,,wised up amigo
 
Back
Top Bottom