weka picha yako
mwanaume hasifiwi sura ...mwanaume anasifiwa kuingia bak kudeposit na kuingia ATM kutoa hela
dah nimecheka sana baadhi ya maoni ya wadau,lakini mbona wengi wanalalamika? Je ni kweli madai ya mleta mada ma handsome ni wachache? ni kiasi cha kuambiwa wapo wengi au wachache,halafu ndo aambiwe kwamba hilo si jambo muhimu sana.Ukifanya utafiti mdogo kwa waliochangia waweza kujua ni handsome au la Kwa (wanaume) ikwa mabinti waliochangia pia utajua kupitia michango yao kwamba waume zao/boyfriend ni handsome au
ni maoni yangu tu
mwanaume hasifiwi sura,
mwanaume hasifiwi kula,
mwanaume hasifiwi kuoga na kupaka mafuta,
mmemuona jk mlomsifia kuwa mmepata rais handsome, mtanashati, mwenyemvuto, wa kuchekacheka ... yamewatokea puani
mwanaume kazi bana, mwanaume kitandani, mwanaume wallet yaani mfuko, mwanaume maamuzi, mwanaume msimamo
Kazi kwelikweli, ila nasikia hapa mujini kuna tycoon mmoja anakula mahendisamu kama hana wa kiume tena anakupeleka landani ukurudi una fuso. Anza kufanya mazoezi ya 0713 lolhizi Tamthilia za akina isabela, salvado, ricardo,pacheco, Pacco na shule za boding tunazowapeleka watoto wakiwa bado wadogo zinatuharibia sana watoto, wazazi wa sasa hivi inabidi tubadilike sana kwenye malezi ya watoto wetu hasa wakiume la sivyo tutajikuta wanaume tumebaki wa mbegu tu. mi inanisikitisha sana japo nina watoto wa kike tu lakini bado hanifanyi niache kutetea malezi bora ya watoto wa kieume. agenda ya malezi ya watoto wetu hasa wakiume inabidi iwe endelevu. ntarudi.
We lazima utakuwa unatokea Kusini, so usi Generalize kwa kuona sample ya wanaume wa Kimakonde na Ki Mawiya (wala watu) tuHiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie
wabaya ndio wenye bamia kubwa,na ndio wanaoweza kazi 'match inaenda dk 90' bila half time!!!!!km unataka usharobaro k2 nusu goli!!!
It means including your fatherHiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza USHOGA. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie
hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza ushoga. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie
hiv jamani mbona bongo tz wanaume wazuri na wenye mvuto ni wakuhesabu, wengi wao ni wabaya na sura zao mbaya. Hii inafaida ya kupunguza ushoga. Lakini hasara pia inaongeza biashara ya ukahaba, sura mbuzi wananunua makaba sana. Pia faida nyingine , kwa sababu wanaume wa bongo wengi wabaya inawabidi kufanya kaz kwa bidii ili wawe na pesa mademu wawaheshmu. Na wengi mtaosoma hapa itawagusa sana. By ........ Mtoto wa mkubwa mie
Yani hata mi naskitika tuko wachache kweli mahandsome!! Chama chetu cha mahandsome tumefanya audition kupata watu lakn kila wanaokuja hawakidh vigezo *heheh*
Like itmwanaume anaweza kuwa mzuri bt mambo hayawez,akawa hatumii akili ktk mambo anayoyafanya mwanaume kichwani anatakiwa awe vzur bwana hekima na busara ndo uhandsome wa mwanaume.