Joseph Gadiel
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 451
- 765
Hakuna mtu mwenye akili timamu na mwenye macho ya kuuona ulimwengu na yale yaliyomo na masikio ya kusikia akaja na hoja ya aina yoyote ile ya kupinga uwepo wa Mungu. Ndiyo maana nadhani unahitaji msaada zaidiKwa hivyo unakubali kwamba ulikuwa umedandia treni kwa mbele kufikiri napinga uwepo wa Mungu kwa sababu siwezi kumgusa wakati hata huelewi sababu zangu za kupinga uwepo wa Mungu?