Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hizi story za babeli ni upuuzi mtupu, inawezekana ndio watu walijenga lakini kusema walitaka kwenda kwa Mungu ni ujinga na upumbavu mkuu. Na kuamini Mumgu aliwapiga Lugha tofauti wasimfikie ni uzwazwa. Hebu fikiria kati ya mnara wa babeli na Space Rocket kipi kinaenda mbali mawinguni, kama mnara wa babeli ulikuwa tishio kwa MUngu iweje hizi rocket kaziacha au alihamia mbali na alipokuwa anaishi zamani. Uliwahi kujiuliza kabla mzungu hajagundua ziwa Viktoria watu wa Mwanza na huko Kenya na UGanda walikuwa hawajui kama lipo?
 
Physics ipi ambayo hauwezi gundua ata pini mkuu, sawa kila kitu lazima kiwe na chanzo , chanzo cha Mungu ni kipi?
Mbona unaruka ruka kama maharage yanayoiva.Nimekuuliza unazijua kanuni za Physics, unaijua special theory of relativity? Unaijua space-time continuum? Unaijua cause and effect theory?
 
Unachanganya vitu vinavyothibitika na adakadabra za bwana abunuasi .
Tatizo lako mkuu umekaza fuvu,
Una uthibitisho gani na hili kwamba binadamu ana maono na mnyama hana? Kuhusu hisia, hakuna kiumbe hai kisichotumia hisia.
Mtu anahisia na maono(uwezo wa kuchakata mawazo), mnyama hana huo uwezo wa kuchakata mawazo.

Uthibitisho ni hivi tunavyopishana kutoa hoja lengo likiwa ni kupata majibu. Mnyama hana huo uwezo.
 
Hizi story za babeli ni upuuzi mtupu, inawezekana ndio watu walijenga lakini kusema walitaka kwenda kwa Mungu ni ujinga na upumbavu mkuu. Na kuamini Mumgu aliwapiga Lugha tofauti wasimfikie ni uzwazwa. Hebu fikiria kati ya mnara wa babeli na Space Rocket kipi kinaenda mbali mawinguni, kama mnara wa babeli ulikuwa tishio kwa MUngu iweje hizi rocket kaziacha au alihamia mbali na alipokuwa anaishi zamani. Uliwahi kujiuliza kabla mzungu hajagundua ziwa Viktoria watu wa Mwanza na huko Kenya na UGanda walikuwa hawajui kama lipo?
Mkuu imani za Mungu ni SHAMBULIO la akili
 
Wataalamu wa bibilia, nakumbuka kuna siku nilisoma hicho kitabu nikaona historia ya mnara wa babeli Mungu aliposhuka na kuwakuta binadamu wanatengeza ule mnara alishtuka na kuwatenganisha kwa lugha pamoja na maeneo ndiyo yakazaliwa mataifa mengine.

Tukio la pili kwenye sura ya mwanzo Mungu baada ya adamu kula ule mti ambao alikatazwa inaonekana ibilisi alikuwa anajua siri ya mti huo wa uzima japo hakuufahamu haswa ni upi ila baada ya Mungu kuona binadamu na jeshi lake watapanga kuutafuta ndiyo akauficha, nimesahau exactly ni wapi.

Case ya tatu, baada ya kuwatoa Wanaisraeli kupitia Mtume wake Musa aliwaambia kuwa yeye ni Mungu mkuu na anawivu hivyo wasiabudu mwengine isipoikuwa yeye.

Je, kwa kauli ya kusema kuna miungu mengine anafahamu kuwa kuna nguvu nyengine tofauti na yeye?

Je, hajiamini na nguvu zake?

Je, Mungu huyu ni tunayemuabudia wakristo na waislamu?

Je, ni binadamu wa mwanzo ambaye aliwahi kutambua siri za ulimwengu na akajitahidi kuzificha na hatimaye akajitolea taji la uungu?

Nawasilisha.
Ana wivu sana hasa pale unapoabudu sanamu[miungu mingine] ambapo dini za kisasa ukiwambia wana abudu sanamu wanasema WANAHESHIMU SANAMU.
Mungu wa Waislamu na Wakristo ni tofauti kabisa.

Allah na Yesu ni tofauti.
Kila mtu aachwe amuabudu wa kwake then kiama ndio kita amua wa kweli na wa uongo.
 
Tatizo lako mkuu umekaza fuvu,

Mtu anahisia na maono(uwezo wa kuchakata mawazo), mnyama hana huo uwezo wa kuchakata mawazo.

Uthibitisho ni hivi tunavyopishana kutoa hoja lengo likiwa ni kupata majibu. Mnyama hana huo uwezo.
Umejuaje hana uwezo huo coz nipo na mbwa wangu anajua kila kitu nilichomfundisha.
 
Unajua kuna vitu ambavyo wala haukupaswa kuhoji mpaka vinaleta wasiwasi kwamba elimu yako ni kiasi gani? Maana kwa mtu muelewa kabisa anaweza kutambua na kuona mambo yaliyo dhahiri kabisa, kwa hiyo naomba unijibu
Hilo swali namuulizaga mwanangu mdgo mkuu,siwezi kupata ujasiri wa kumuuliza mtu mzima eti wewe umetoka wap ebu vuta picha kwa akili ya kawaida tu.
 
Unajua kuna vitu ambavyo wala haukupaswa kuhoji mpaka vinaleta wasiwasi kwamba elimu yako ni kiasi gani? Maana kwa mtu muelewa kabisa anaweza kutambua na kuona mambo yaliyo dhahiri kabisa, kwa hiyo naomba unijibu
Mkuu wewe ni dini na dhehebu gani?
Naomba unijibu kama HUTAJALI kwa afya ya mjadala huu
 
Nimekuuliza wewe unayesema kwamba unaziona na zipo pale, na umekubali. Nakuuliza je unafahamu zimetoka wapi? Je umeshawahi achilia mbali kufika hata kuisogelea tu ile nyota ya karibu kabisa Proxima centauri?
Kufika au kutokujua zimetoka wapi zinathibitisha vipi kama zimewekwa pale? Naomba unipe elimu isiyo na mashaka lengo ni kujifunza! Pengine sifaham zilipotoka lakini kwann ww tayar una conclude zimewekwa pale? Au ni imani na vitabu vya dini ulivyosoma
 
Sawa. Na mimi kama sina akili, hilo nalo litazidi kuthibitisha Mungu hayupo.

Mimi sijasema nina akili, nimesema Mungu hayupo.

Hoja ni Mungu kuwapo, si mimi kuwa na akili.

Usibadilishe hoja.
Sasa kama una akili mbona sizioni? Ebu zibebe uje nazo hapa!
 
Hiyo process ya reproduction na kanuni za kibayolojia zilizoset in motion mpaka ukawepo unadhani zilitokea kwa bahati mbaya au kuna force behind?

Sasa kama una akili mbona sizioni? Ebu zibebe uje nazo hapa!
Ulishasikia wap akili zinataka kuabudiwa na usipo ziabudu kuna moto , kwamba akili ndio Mungu?
 
Kufika au kutokujua zimetoka wapi zinathibitisha vipi kama zimewekwa pale? Naomba unipe elimu isiyo na mashaka lengo ni kujifunza! Pengine sifaham zilipotoka lakini kwann ww tayar una conclude zimewekwa pale? Au ni imani na vitabu vya dini ulivyosoma
Duh yaani hata kabla sijakuuliza au kukueleza point yangu tayari umesharukia mambo ambayo hata sikumaanisha. Anyway, Sasa kama akili zako zimeshindwa kuchanganua hata mambo madogo kama hayo, kweli kwa akili hizo hizo unatumia kuhoji utendaji wa Mungu? Seriously?
 
Back
Top Bottom