Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hivi kwanini Mungu ana wivu?

You’re just an imposter.

Unaji contradict mwenyewe kama umesema ni muweza wa yote kwanini unaweka limit afanye tu unayotaka wewe au hujui maana ya dhana ya muweza wa yote?

Una Brain tumor wewe sio bure.
Acha kuwa mpumbavu kaka, bibilia na quaran ndo zimetaja hizo sifa za Mungu sio mimi, nimenukuu tu
 
Wewe akili zako zimekuwezesha kutengeneza uhai hata wa kifaranga cha kuku? Hizo nyota unazoziona kila siku umeshawahi hata kuisogelea nyota ya karibu zaidi? Kwa hiyo kwa akili zako hizo unamhoji aliyeset na kuweka hiyo mifumo?
Pathetic fool!
 
Mungu muweza wa yote alie shindwa kuseti binadamu asimkosee , aliyeshindwa kuweka usawa kwa vitu alivyoviumba mwenyewe ,then vikienda tofauti ana kasirika na kuwa na wivu na kupaniki, Mungu huyo wala haihitaji akili hata ya panya kuthibitisha kwamba hayupo.

Mungu amejibu swali lako kupitia kitabu cha Quran kwa kusema kuwa lau kama angelitaka basi angelituumba sote kuwa umma mmoja.

Ila hakutaka liwe hivyo kwasababu ameyafanya maisha haya ya duniani kuwa ni mtihani kwa kila mwanadamu ili aone ni nani atakayemuamini kikweli na kisha akatenda mema.

Pia ni sawa useme kwanini Mungu hajatuumba wanaadamu wote kuwa na sura moja,urefu sawa,akili sawa,lugha moja,rangi moja ,jinsia moja,umri sawa wa kuishi hapa duniani n.k?! Jibu ni kuwa hakutaka iwe hivyo lau angelitaka basi angelifanya kuwa hivyo.

Ila ameyaweka maisha ya duniani kuwa ni mithili ya chumba cha mtihani. Kila mtu anapewa mtihani wake, atajaza majibu yake anayoyataka kupitia imani atakayoichagua pamoja na vitendo vyake atakavyoamua kuvitenda....mwisho wa siku huu mtihani huwa na muda maalumu ambao ni uhai. .ukiisha ndio Kifo huwa kimefika, unakusanywa kwa ajili ya kwenda kusahihishwa na kisha mwisho washindi na waliofeli watatangazwa siku ya Hukumu
 
Mungu amejibu swali lako kupitia kitabu cha Quran kwa kusema kuwa lau kama angelitaka basi angelituumba sote kuwa umma mmoja.

Ila hakutaka liwe hivyo kwasababu ameyafanya maisha haya ya duniani kuwa ni mtihani kwa kila mwanadamu ili aone ni nani atakayemuamini kikweli na kisha akatenda mema.

Pia ni sawa useme kwanini Mungu hajatuumba wanaadamu wote kuwa na sura moja,urefu sawa,akili sawa,lugha moja,rangi moja ,jinsia moja,umri sawa wa kuishi hapa duniani n.k?! Jibu ni kuwa hakutaka iwe hivyo lau angelitaka basi angelifanya kuwa hivyo.

Ila ameyaweka maisha ya duniani kuwa ni mithili ya chumba cha mtihani. Kila mtu anapewa mtihani wake, atajaza majibu yake anayoyataka kupitia imani atakayoichagua pamoja na vitendo vyake atakavyoamua kuvitenda....mwisho wa siku huu mtihani huwa na muda maalumu ambao ni uhai. .ukiisha ndio Kifo huwa kimefika, unakusanywa kwa ajili ya kwenda kusahihishwa na kisha mwisho washindi na waliofeli watatangazwa siku ya Hukumu
Sjasoma sna nimeishia apo uliposem Mungu kajibu kupitia kitabu.
 
Sjasoma sna nimeishia apo uliposem Mungu kajibu kupitia kitabu.
Lazima utambue kuwa Mungu ana matakwa yake (will) , anatenda vile anavyotaka yeye na wala hapangiwi na mtu.

Sawasawa na wewe uwe na bilioni moja halafu mwanao aje akambiwe wewe huwezi kuwa baba yake kwa kuwa hujamlisha nyama ya kuku kwa siku ya leo.

Litakuwa ni jambo la kijinga kwasababu wewe ndio baba na hupangiwi na mwanao nini cha kuleta mezani kama chakula. Mwanao atakula kile ulichoamua wewe kukileta kwa siku hiyo.

Ndivyo Mungu nae yupo hivyo kiutendaji...Anaamua lile analolitaka ndio linakuwa na wala wewe huwezi kumpangia nini afanye na nini asifanye
 
Lazima utambue kuwa Mungu ana matakwa yake (will) , anatenda vile anavyotaka yeye na wala hapangiwi na mtu.

Sawasawa na wewe uwe na bilioni moja halafu mwanao aje akambiwe wewe huwezi kuwa baba yake kwa kuwa hujamlisha nyama ya kuku kwa siku ya leo.

Litakuwa ni jambo la kijinga kwasababu wewe ndio baba na hupangiwi na mwanao nini cha kuleta mezani kama chakula. Mwanao atakula kile ulichoamua wewe kukileta kwa siku hiyo.

Ndivyo Mungu nae yupo hivyo kiutendaji...Anaamua lile analolitaka ndio linakuwa na wala wewe huwezi kumpangia nini afanye na nini asifanye
Mungu hayupo wala hajawahi kuwepo hayo unayayasema ni maneno ya kiimani tu hayana uthibitisho wowote.
 
Lazima utambue kuwa Mungu ana matakwa yake (will) , anatenda vile anavyotaka yeye na wala hapangiwi na mtu.

Sawasawa na wewe uwe na bilioni moja halafu mwanao aje akambiwe wewe huwezi kuwa baba yake kwa kuwa hujamlisha nyama ya kuku kwa siku ya leo.

Litakuwa ni jambo la kijinga kwasababu wewe ndio baba na hupangiwi na mwanao nini cha kuleta mezani kama chakula. Mwanao atakula kile ulichoamua wewe kukileta kwa siku hiyo.

Ndivyo Mungu nae yupo hivyo kiutendaji...Anaamua lile analolitaka ndio linakuwa na wala wewe huwezi kumpangia nini afanye na nini asifanye
Ulijadiliana lini na huyo unae muita Mungu akakuleza hayo
 
Wewe unadhani kwanini ameumba Pepo na Moto wa jahannam?

Kwanini asingeacha tu wanaaadamu wote waende peponi (paradiso)?
Hakuna jehanamu kaka..ni stori tu za vijiwen...Mungu hana sabab ya kuangamiza kitu alichoumba..hana muda huo..cycle ya binadam ni moja..ukidanja unaenda zaliwa tena,spirit haifi
 
Back
Top Bottom