Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 8,589
- 14,203
Mkuu sayansi ni LOGIC tu haina maajabu yoyoteHalafu unakuta mtu amekomaa as if science ni absolutely.
Mimi na wewe tunaishi kwa kutumia logic tu na sio invincible power
Mkuu sayansi ni LOGIC tu haina maajabu yoyoteHalafu unakuta mtu amekomaa as if science ni absolutely.
Wewe hujui hata kusoma kwa ufahamu.Sasa kama una akili mbona sizioni? Ebu zibebe uje nazo hapa!
kwa hiyo point ni kutaka kuabudiwa na si uwepo wake? Tumalizane na kimoja kwanza kabla hatujaendeleaUlishasikia wap akili zinataka kuabudiwa na usipo ziabudu kuna moto , kwamba akili ndio Mungu?
Point yangu ni kwamba si kila kilichopo unaweza kukigusa na si lazima mpaka ukiguse ndipo kiwepo. Kuamini kwako au kutoamini kwako hakuondoi ukweli kwamba Kuna Mlima Kilimanjaro.Wewe hujui hata kusoma kwa ufahamu.
Wapi nimesema nina akili?
Wewe hujui hata kusoma na hivyo ni vigumu kufanya majadiliano nawe hapa JF.
Mungu hayupo wala hajawahi kuwepo ila hako ka nadharia ka uwepo wa Mungu kapo vichwani mwa watu ,na kameshikiliwa na hofu ya kifo + ahadi + vitisho , ukiondoa hivyo vitu kwenye vichwa vya watu Habari ya Mungu ndio itakua kwisha .kwa hiyo point ni kutaka kuabudiwa na si uwepo wake? Tumalizane na kimoja kwanza kabla hatujaendelea
Kama ungeielewa vyema sayansi basi ungeelewa kwamba kuna grand designer! Master! Akili kubwa iliyoset everything in motion!Mkuu sayansi ni LOGIC tu haina maajabu yoyote
Mimi na wewe tunaishi kwa kutumia logic tu na sio invincible power
Umesema umemfundisha hapo ni kusema umetumia maono yako ukayahamisha kwa mbwa kwa njia ya mafunzo.Umejuaje hana uwezo huo coz nipo na mbwa wangu anajua kila kitu nilichomfundisha.
Huyo mtu ana matatizo ya kushindwa kusoma kwa ufahamu.Ulishasikia wap akili zinataka kuabudiwa na usipo ziabudu kuna moto , kwamba akili ndio Mungu?
Mkuu hawa watu wana akili TIMAMU kabisaHilo swali namuulizaga mwanangu mdgo mkuu,siwezi kupata ujasiri wa kumuuliza mtu mzima eti wewe umetoka wap ebu vuta picha kwa akili ya kawaida tu.
Kwani wapi nimekwambia nataka kumgusa Mungu?Point yangu ni kwamba si kila kilichopo unaweza kukigusa na si lazima mpaka ukiguse ndipo kiwepo. Kuamini kwako au kutoamini kwako hakuondoi ukweli kwamba Kuna Mlima Kilimanjaro.
Kitu gani kipo ila unahisi hakiwezi kutambulika na milango mitano ya fahamu ?Point yangu ni kwamba si kila kilichopo unaweza kukigusa na si lazima mpaka ukiguse ndipo kiwepo. Kuamini kwako au kutoamini kwako hakuondoi ukweli kwamba Kuna Mlima Kilimanjaro.
Unasema Mungu hayupo alafu wakati huo huo unavuta oksijeni wala hauhoji imetoka wapi 😄 unapanda unavuna wala hauhoji jua mvua vinatoka wapi, usiku unaona mwezi nyota unàdhani mjomba wako aliweka pale 😄 huu nao ni aina nyingine ya uwendawazimu. Elimu muhimu sanaMungu hayupo wala hajawahi kuwepo ila hako ka nadharia ka uwepo wa Mungu kapo vichwani mwa watu ,na kameshikiliwa na hofu ya kifo + ahadi + vitisho , ukiondoa hivyo vitu kwenye vichwa vya watu Habari ya Mungu ndio itakua kwisha .
Ebu elezea hiyo hoja upatiwe msaada taratibu, maana labda unahitaji elimu ndogo sana ili upate utambuziKwani wapi nimekwambia nataka kumgusa Mungu?
Unaelewa hoja yangu kubwa ya kukataa uwepo wa Mungu ni ipi?
Watu wanaogopa kufa na wanaogopa wakifa wataenda wapi . Apo tu ndio kuna tatzo, ukitaka kujua hawa watu wa dini wanaishi kiunafki nenda kwenye uzi wa kula tunda kimasira ndio utajua wanathibitisha vipi kwamba hakuna Mungu , ila kuna kaunafki .Mkuu hawa watu wana akili TIMAMU kabisa
Isipokua linapokuja swala la Imani yao ya Mungu wanaacha kabisa kutumia AKILI
Wewe unaamni Mungu yupo wala hauhoji ametokea wapi .?😄 Na unamaini kabisa amekaumba na kashetani ili ajipe umuhimu wa kuwa Mungu😄Unasema Mungu hayupo alafu wakati huo huo unavuta oksijeni wala hauhoji imetoka wapi 😄 unapanda unavuna wala hauhoji jua mvua vinatoka wapi, usiku unaona mwezi nyota unàdhani mjomba wako aliweka pale 😄 huu nao ni aina nyingine ya uwendawazimu. Elimu muhimu sana
😂😂😂Watu wanaogopa kufa na wanaogopa wakifa wataenda wapi . Apo tu ndio kuna tatzo, ukitaka kujua hawa watu wa dini wanaishi kiunafki nenda kwenye uzi wa kula tunda kimasira ndio utajua wanathibitisha vipi kwamba hakuna Mungu , ila kuna kaunafki .
Kwa hivyo unakubali kwamba ulikuwa umedandia treni kwa mbele kufikiri napinga uwepo wa Mungu kwa sababu siwezi kumgusa wakati hata huelewi sababu zangu za kupinga uwepo wa Mungu?Ebu elezea hiyo hoja upatiwe msaada taratibu, maana labda unahitaji elimu ndogo sana ili upate utambuzi
Hapa ndipo shida inapoanzia. Kwa hiyo swala ni milango mitano ya fahamu? Kama aliyekutengeneza aliamua kuopt kukuacha na milango mitano ya fahamu, vipi kama kuna mlango wa sita, saba, nane..... hiyo mingine iliyopo unaifahamu? Sasa kama issue kama hiyo hauna majibu yake, unathubutu vipi kumhoji huyo aliyeamua iwe hivyo? Wewe unajua yeye amebaki na milango mingapi?Kitu gani kipo ila unahisi hakiwezi kutambulika na milango mitano ya fahamu ?
Ukifungua tu macho na kutazama wala hauna haja ya kuhoji kama yupo au hayupo! Jibu lipo wazi kabisa! Kuhusu utendaji wake hizo na akili na makusudi yake ambayo siwezi kuhoji!Wewe unaamni Mungu yupo wala hauhoji ametokea wapi .?😄 Na unamaini kabisa amekaumba na kashetani ili ajipe umuhimu wa kuwa Mungu😄