Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Aliyekwambia kwamba DNA na RNA zimeumbwa ni nani?

Una uthibitisho gani kwamba DNA na RNA zimeumbwa?

Kama DNA na RNA lazima ziwe zimeumbwa, Je aliyeziumba aliumbwa na nani?

Maana hata huyo aliyeumba DNA na RNA hawezi kuwepo tu from nothing.

Lazima awe ameumbwa.

Na kama haiwezekani DNA na RNA ziwe zimejiumba hata huyo aliyeziweka Haiwezekani awe amejiumba.

Una elewa hilo?
Hiyo ndiyo limit yako mwanadamu! Akili yako haiwezi kuelewa dimensions za Mungu, hayo yote unayoyazungumza ni kwenye dimension yako sio ya Mungu.
 
Mtu alikuwa analeta kelele nyiiingi, kimepanda, kimeshuka. Akili zishikwe, ujinga mzigo.

Kujimwambafy kwiiingi.

Akaulizwa swali moja dogo tu.

"Unaelewa logical consistency ni nini"?

Kakimbia na kelele zote kaacha.
 
Kwa hiyo vimejitokea tu vyenyewe?
Havijatokea popote pale.

vilikuwepo, vipo na vitaendelea kuwepo.

Kama haiwezekani dunia kuwepo yenyewe hata huyo Mungu wako haiwezekani awepo tu mwenyewe.

Aliyekuumba na kuprogram akili yako ameiwekea limits kuweza kufahamu mambo yaliyo katika level yake.
Hakuna aliyeniumba.

Hakuna aliye program akili yangu.

Hakuna aliyeweka limits kwenye ufahamu wangu.

Aliyeniumba angekuwa ameweka limitations kwenye akili yangu nisingeweza hata kusema yeye hayupo.

Maana Akili yangu ingetambua bila utata na kuwa programmed kumtambua aliyeniumba yupo wakati wote na siku zote.
Sasa unataka ulazimishe wakati akili yako hailingani wala kufikia level yake? Uko na rubberband alafu unataka uvute utanue ukubwa wa mto Nile?!
Wewe ndio ume muumba Mungu kichwani mwako ndio maana una muongelea.

Huyo Mungu hayupo kujiongelea mwenyewe.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Kama ungeielewa vyema sayansi basi ungeelewa kwamba kuna grand designer! Master! Akili kubwa iliyoset everything in motion!
Hiyo ni sayansi gani na ya wapi ambayo imefikia hitimisho la kwamba kuna master alieseti kila kitu?
 
-mungu anatumia akili zake kufanya nini na unakadiria IQ yake ni ngapi
what is ngapi? Unazungumziaje dimensions za kibinadamu unapomzungumzia Mungu? What is IQ? Hayo mambo ya kwenye maisha ya mwanadamu ambayo umezaliwa umeyakuta unadhani ndiyo yaliyopo kwenye dimensions za Mungu? Alafu bado unaamini kwa akili hizo ndiyo upate majibu ya akili za Mungu


*Alafu unapoandika neno Mungu anza na herufi kubwa
 
Unasema Mungu hayupo alafu wakati huo huo unavuta oksijeni wala hauhoji imetoka wapi [emoji1] unapanda unavuna wala hauhoji jua mvua vinatoka wapi, usiku unaona mwezi nyota unàdhani mjomba wako aliweka pale [emoji1] huu nao ni aina nyingine ya uwendawazimu. Elimu muhimu sana
Elimu gani inayofundisha mungu anatengeneza oksijeni na mvua. Kama wewe hiyo elimu unayo tuelekeze anatengenezaje vitu hivyo.
 
Havijatokea popote pale.

vilikuwepo, vipo na vitaendelea kuwepo.

Kama haiwezekani dunia kuwepo yenyewe hata huyo Mungu wako haiwezekani awepo tu mwenyewe.


Hakuna aliyeniumba.

Hakuna aliye program akili yangu.

Hakuna aliyeweka limits kwenye ufahamu wangu.

Aliyeniumba angekuwa ameweka limitations kwenye akili yangu nisingeweza hata kusema yeye hayupo.

Maana Akili yangu ingetambua bila utata na kuwa programmed kumtambua aliyeniumba yupo wakati wote na siku zote.

Wewe ndio ume muumba Mungu kichwani mwako ndio maana una muongelea.

Huyo Mungu hayupo kujiongelea mwenyewe.

Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Bado una ufahamu mdogo sana alafu unataka kutumia akili yako kuhoji akili ya Mungu wakati hata uwezo wa kutambua namna nyepesi ya ufahamu wa viumbe hai hauna! Wewe na Ng'ombe nani mwenye akili? Kwa hiyo hayo maneno angeongea ng'ombe kwamba yeye ndiye mwenye akili zaidi ya binadamu na hana limitation angekuwa sahihi? Hauna hata akili ya kutengeneza uhai wa mdudu, alafu unajidai kuhoji akili zilizotumika kuweka kila kitu mahala pake! Nadhani unahitaji msaada zaidi
 
Hiyo ndiyo limit yako mwanadamu! Akili yako haiwezi kuelewa dimensions za Mungu, hayo yote unayoyazungumza ni kwenye dimension yako sio ya Mungu.
Huyo Mungu kama yupo mwambie aje hapa ajidhihirishe.

Una muongelea Mungu ambaye yeye mwenyewe hawezi kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha.

Huoni kwamba unafosi mafikirio yako.

Mwambie huyo Mungu aje hapa ani prove wrong kwamba yeye yupo.

Wewe si unadai huyo Mungu yupo?
 
Nithibitishe kwa kutumia fikira na hisia ambazo hazitumii logic? Kumbe ni mzito kidogo, huelewi mambo. Ok.

Kama unautaka sana kuuelewa ulimwengu wa roho nenda kwenye kanisa lolote hata la kilokole mwambie mchungaji unataka kuokoka, hiyo ni hatua ya kwanza ya kutaka kuthibitisha haya mambo bila kutumia logic. Ukijisikia kuanguka mapepo we anguka tu usitafute logic behind.
Hayo ni mahubiri yanayofatwa na vipofu wa akili.
 
Elimu gani inayofundisha mungu anatengeneza oksijeni na mvua. Kama wewe hiyo elimu unayo tuelekeze anatengenezaje vitu hivyo.
Kila kitu hakipo kwa bahati mbaya! Bali ni mifumo ambayo sayansi inaeleza wazi namna inavyofanya kazi na chanzo cha hayo yote ni Nguvu kubwa iliyopo nyuma yake ambayo ni Mungu.
 
Bado una ufahamu mdogo sana alafu unataka kutumia akili yako kuhoji akili ya Mungu wakati hata uwezo wa kutambuaku namna nyepesi ya ufahamu wa viumbe hai hauna! Wewe na Ng'ombe nani mwenye akili? Kwa hiy hayo maneno angeongea ng'ombek kwamba yeye ndiye mwenye akili zaidi ya binadamu na hana limitation angekuwa sahihi? Hauna hata akili ya kutengeneza uhai wa mdudu, alafu unajidai kuhoji akili zilizotumika kuweka kila kitu mahala pake! Nadhani unahitaji msaada zaidi
Nakwambia hivi, Leta uthibitisho wa kwamba uhai uliwekwa na huyo mungu.

Acha stori uchwara uchwara.
 
Huyo Mungu kama yupo mwambie aje hapa ajidhihirishe.

Una muongelea Mungu ambaye yeye mwenyewe hawezi kujiongelea mwenyewe na kujidhihirisha.

Huoni kwamba unafosi mafikirio yako.

Mwambie huyo Mungu aje hapa ani prove wrong kwamba yeye yupo.

Wewe si unadai huyo Mungu yupo?
Be calm, atajidhihirisha tu, Kwasababu utendaji kazi wake si kama wa kwako wewe mwanadamu! Yeye sio kama mimi kwamba tunazogoana na kuvuatana hapa na pale, Yeye anatenda katika level za Mungu. Kama hilo ndilo unahitaji, basi kuwa mpole tu 😄
 
Kila kitu hakipo kwa bahati mbaya! Bali ni mifumo ambayo sayansi inaeleza wazi namna inavyofanya kazi na chanzo cha hayo yote ni Nguvu kubwa iliyopo nyuma yake ambayo ni Mungu.
Unathibitishaje ni Mungu?

Au unafosi kwamba ni Mungu?
 
Ndiyo maana nasema elimu ni muhimu. Incubator zinatotolesha kwa theories ambazo ni scientific ambazo zinadhihirisha uwepo wa Mungu, kama unabisha basi tengeneza kifaranga chako bila kutotolesha!

Akili zako ndogo sana, Nikajua walau utazungumzia Voyager 1 & 2 ambazo zimeenda mpaka interstellar mission, unazungumzia Neil Armstrong aliyefika hapo mwezini ambapo haifiki hata robo ya robo ya robo ya robo ya robooooo ya alpha centauri ambayo ndiyo nyota ya karibu zaidi!

Kwa hiyo unadhani hii mifumo imejianzisha tu yenyewe na kujiset in motion? Ndiyo maana nasema elimu tu ndicho kitu umekosa! Hata gravity ambayo inakushikilia wewe usidondoke haipo kwa bahati mbaya! Ni akili kubwa mno imetumika! Achilia mbali hizo DNA na RNA! Unazungumza nini wewe!
Thibitisha aliyeseti mambo hayo ni mungu na si mafiikirio yako.
 
Havipo sasa umevifahamu vipi? Unatafsiri vipi kisichokuwepo akilini mwako? Unless tafsiri ya kutokuwepo kwako ni kutoshikika, kutokuonekana.
Nionyeshe mahali nimesema navifahamu
 
Be calm, atajidhihirisha tu,
Atajidhihirisha lini?

Wapi?

Muda gani?

Kama Mungu huyo yupo aje hapa ajidhihirishe sasa hivi.
Kwasababu utendaji kazi wake si kama wa kwako wewe mwanadamu! Yeye sio kama mimi kwamba tunazogoana na kuvuatana hapa na pale, Yeye anatenda katika level za Mungu. Kama hilo ndilo unahitaji, basi kuwa mpole tu 😄
Mungu huyo hawezi kuja kwa vile Hayupo.
 
Back
Top Bottom