Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,679
- 5,165
- Thread starter
- #221
kwahyo mungu ndiye kaanzisha uhusiano na mwanadamu ili atuogopeshe?Hoja inaishia hapa.
Mjadala ufungwe.
kwahyo mungu ndiye kaanzisha uhusiano na mwanadamu ili atuogopeshe?Hoja inaishia hapa.
Mjadala ufungwe.
Hapa tupo tunahoji mapana ya mungu au unazungumzia mapana gani?What is akili? Hilo unalijua wewe binadamu uliyeprogramiwa na kuwekewa! Hilo lipo kwenye dimensions zako.Unajua options zingine zilizopo? Kaa kwa kutulia, huwezi kuhoji mapana ya Mungu.
Wewe akili zako zimekuwezesha kutengeneza uhai hata wa kifaranga cha kuku? Hizo nyota unazoziona kila siku umeshawahi hata kuisogelea nyota ya karibu zaidi? Kwa hiyo kwa akili zako hizo unamhoji aliyeset na kuweka hiyo mifumo?Mungu wa kwenye biblia na Quran hayupo, laiti kama angekuwepo asingekuwa na madhaifu makubwa kiasi hicho.
Huo mnara kabla haujajengwa, Mungu ajuae kesho yetu na ajuae kila kitu kuhusu sisi angeshatambua mawazo ya binadamu kutaka kujenga mnara na angesitisha hilo zoezi mapema.
Huyo shetani ambae alimdanganya adam na hawa kula tunda, angeshamuua zamani sana, Mungu muweza wa yote, mwenye upendo wote asingeruhusu tuishi na shetani wakati anajua shetani ana nguvu kuliko sisi.
Ulimwengu wa roho hautumii fact na logic za kisayansi. Unatumia fikra, hisia na mambo yasiyoweza thibitishwa kwa kutumia logic.Ulimwengu wa fact unatumia logic na kanuni za kisayansi, ambazo zinakataa uwepo wa mungu.
Wewe akili zako zimekuwezesha kutengeneza uhai hata wa kifaranga cha kuku? Hizo nyota unazoziona kila siku umeshawahi hata kuisogelea nyota ya karibu zaidi? Kwa hiyo kwa akili zako hizo unamhoji aliyeset na kuweka hiyo mifumo? Kwamba aje kwako ajiongeleshe ili ujue kwamba yupo?Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
Mungu wa kwenye Biblia na maandiko yote ya kidini ni Fictional character sawa na Abunuwasi wa kwenye Hekaya.
Mungu ana ongelewa na binadamu kwa vile Hayupo kujiongelea mwenyewe..
Kwa hiyo hujui roho ni nini, Asante. Halafu hivi kumbe Kuna ulimwengu mwingine nje ya huu tunaojua wote! Ulimwengu wa kiroho ndio upi Tena?"Jibu ni roho ni MUNGU, nao wamuabudio wamuabudu katika roho."
Sentensi kama hiyo ukiielewa hutateseka na kuhoji uwepo wa MUNGU kwa waamini. Imejitosheleza.
Huwezi ona roho, huwezi gusa roho, huwezi thibitisha uwepo wa roho katika ulimwengu nje ya ulimwengu wa kiroho au ulimwengu wa kisayansi. Ili umuelewe MUNGU lazima uhame kwenye ulimwengu wa fact.
Aliyeset hayo nae kawekwa na nani?Wewe akili zako zimekuwezesha kutengeneza uhai hata wa kifaranga cha kuku? Hizo nyota unazoziona kila siku umeshawahi hata kuisogelea nyota ya karibu zaidi? Kwa hiyo kwa akili zako hizo unamhoji aliyeset na kuweka hiyo mifumo? Kwamba aje kwako ajiongeleshe ili ujue kwamba yupo?
Aisee, sawa basi ebu anza na kuumba hata kifaranga cha kuku 😄Niki kwambia mimi Infropreneur ni Mungu halisi na hakuna mwingine utakubali?
Utakuwa na uthibitisho wa uwepo wa Mungu wako unayesema yupo, uje naye au umwambie aje ani prove wrong kwamba mimi infropreneur sio Mungu, yeye ndio Mungu?
Ataweza kuja?
Roho ni MUNGU. na nimekupa na sifa za roho. Sasa jiongeze boss.Kwa hiyo hujui roho ni nini, Asante. Halafu hivi kumbe Kuna ulimwengu mwingine nje ya huu tunaojua wote! Ulimwengu wa kiroho ndio upi Tena?
Akili zako no za kibinadamu kwa hiyo utahoji lakini kwa akili za kibinadamu ambayo majibi yake hata ukipewa hautokaa uelewe kwa sababu ni akili za KimunguAliyeset hayo nae kawekwa na nani?
Hiyo Oksijeni tu unayovuta ni kithibitisho toshaUnaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Sifa za roho? Unanipaje sifa za roho wakati we mwenyewe umesema ni fikra tu! Ulimwengu wa fikra mana yake inawezekana usiwepo kabisa ama haujawahi kuwepo. Si ndio?Roho ni MUNGU. na nimekupa na sifa za roho. Sasa jiongeze boss.
Ulimwengu wa kiroho ni makazi ya mambo yote ya kifikra, mambo ambayo huwezi tumia fact kuyaelezea. Mambo ambayo huwezi yathibitisha kisayansi.
Sasa wewe umeyajuaje wakati wewe pia una ufaham na akili za kibinadam tu. Tena unapambania kabisa kama vile una uhakikaAkili zako no za kibinadamu kwa hiyo utahoji lakini kwa akili za kibinadamu ambayo majibi yake hata ukipewa hautokaa uelewe kwa sababu ni akili za Kimungu
Hiyo oksijeni tu unayovuta ni kithibitisho tosha!Nyie mwanadai kuna Mungu sie twasema hayupo, kimatinki kabisa haiwezekani kuthibitisha kitu ambacho hakipo , wanaodai Mungu yupo wathibitishe ili kukanusha madai yetu ya kutokuwepo kwake.
Kutokuwepo ni nini? Unaposema kisiwepo unamaanisha nini? Nadhani tatizo lipo hapa kwenye tafsiri ya kuwepo na kutokuwepo. Tuanzie hapa. Ni nini maana ya kutokuwepo?Sifa za roho? Unanipaje sifa za roho wakati we mwenyewe umesema ni fikra tu! Ulimwengu wa fikra mana yake inawezekana usiwepo kabisa ama haujawahi kuwepo. Si ndio?
Kamwe Mungu hawezi kulingana na binadamuMungu ni mtu ndio maana Ana wivu.
Soma Kutoka 15:3
Hata kufika tu hapo kwenye nyota ya karibu kabisa hakuna aliyewahi😄Talanta ya ubishi na ujuaji huwa sina mkuu, ok turidi kwenye mada.
Science ni maarifa ambayo yamegundulika na yanaweza kuthibitika.
Je, unafikiri hadi sasa sayansi imegundua kila kitu kinachohusu ulimwengu?