Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Alie kupangia ni nani ? Amini unacho amini ni haki yako kikatiba, ila wewe na wenzako hakuna mtakacho nifundisha kuhusu hizo hadithi za abunuasi mpka siku nakufa.
Nimekujibu hivyo kwasababu umehoji juu ya kuamini kisichokuwepo, ila na mimi nikakuuliza wewe usiyeamini unadhani upo hapo kwa bahati mbaya?
 
OK, sifa za kuwepo ni matokeo, Yaani uwepo wako utagusa mwingine kimawazo, kiutendaji, kihisia n.k. Ili tuseme upo lazima kuwe na matokeo ya uwepo wako either kiutendaji, kifikra au kihisia na hayo matokeo yatagusa uwepo wa mtu/vitu vingine. Sahihi?
Okay, endelea
 
Unajua wewe ni kama mjinga ambaye yupo shimoni unaambiwa kule juu hauwezi kufika sehemu yetu ni huku, alafu unaanza kufoka "wewe umejuaje kama kule hakufikiki, umejuaje kama hapa tupo shimoni" khaa! Sasa unauliza wakati unaona kwamba upo shimoni! Akili na ufahamu wa kibinadamu ndiyo unaokufahamisha kwamba wewe utabaki kuwa mwanadamu na kamwe akili zako haziwezi kulingana na Mungu. Usilazimishe akili zako kuchunguza akil

Unajua wewe ni kama mjinga ambaye yupo shimoni unaambiwa kule juu hauwezi kufika sehemu yetu ni huku, alafu unaanza kufoka "wewe umejuaje kama kule hakufikiki, umejuaje kama hapa tupo shimoni" khaa! Sasa unauliza wakati unaona kwamba upo shimoni! Akili na ufahamu wa kibinadamu ndiyo unaokufahamisha kwamba wewe utabaki kuwa mwanadamu na kamwe akili zako haziwezi kulingana na Mungu. Usilazimishe akili zako kuchunguza akili za Mungu.
Twende taratibu, akili ni nini? mungu ana akili? Unafaham kwamba kuwa na akili ni sifa za kibinadam?
 
Aise nimegundua ninazungumza na mtoto wa kindergarten ambaye hata haujui kanuni za physics na una uelewa mdogo sana wa mambo.
Physics ipi ambayo hauwezi gundua ata pini mkuu, sawa kila kitu lazima kiwe na chanzo , chanzo cha Mungu ni kipi?
 
Back
Top Bottom