Mungu wa kwenye biblia na Quran hayupo, laiti kama angekuwepo asingekuwa na madhaifu makubwa kiasi hicho.
Huo mnara kabla haujajengwa, Mungu ajuae kesho yetu na ajuae kila kitu kuhusu sisi angeshatambua mawazo ya binadamu kutaka kujenga mnara na angesitisha hilo zoezi mapema.
Huyo shetani ambae alimdanganya adam na hawa kula tunda, angeshamuua zamani sana, Mungu muweza wa yote, mwenye upendo wote asingeruhusu tuishi na shetani wakati anajua shetani ana nguvu kuliko sisi.Mbona
Mungu wa kwenye biblia na Quran hayupo, laiti kama angekuwepo asingekuwa na madhaifu makubwa kiasi hicho.
Huo mnara kabla haujajengwa, Mungu ajuae kesho yetu na ajuae kila kitu kuhusu sisi angeshatambua mawazo ya binadamu kutaka kujenga mnara na angesitisha hilo zoezi mapema.
Huyo shetani ambae alimdanganya adam na hawa kula tunda, angeshamuua zamani sana, Mungu muweza wa yote, mwenye upendo wote asingeruhusu tuishi na shetani wakati anajua shetani ana nguvu kuliko sisi.
Unaji contradict mwenyewe kama umesema ni muweza wa yote ndo mana amefanya pia na hilo ambalo wewe unalitoa kwenye uweza wake..Unamuiga Kiranga halafu kichwani una brain tumor?