Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Historia unaijua lakini?
Vizuri sana Najua Historia ya Dunia!
Science history..
Churches History (Na hii Nimeifanyia Mtihani na nilipata A Course hii)...
Na hata Historia kwa kufuata Miaka na Simulizi za kibiblia..

Na baadhi ya Historia kutoka Uhindu,Uislam,Uchinani,na hata Uarabu kabla ya Mtume..

Sasa sijajua Ulikuwa umelenga upande gani kuilixa hilo swali
 
Wataalamu wa bibilia, nakumbuka kuna siku nilisoma hicho kitabu nikaona historia ya mnara wa babeli Mungu aliposhuka na kuwakuta binadamu wanatengeza ule mnara alishtuka na kuwatenganisha kwa lugha pamoja na maeneo ndiyo yakazaliwa mataifa mengine.

Tukio la pili kwenye sura ya mwanzo Mungu baada ya adamu kula ule mti ambao alikatazwa inaonekana ibilisi alikuwa anajua siri ya mti huo wa uzima japo hakuufahamu haswa ni upi ila baada ya Mungu kuona binadamu na jeshi lake watapanga kuutafuta ndiyo akauficha, nimesahau exactly ni wapi.

Case ya tatu, baada ya kuwatoa Wanaisraeli kupitia Mtume wake Musa aliwaambia kuwa yeye ni Mungu mkuu na anawivu hivyo wasiabudu mwengine isipoikuwa yeye.

Je, kwa kauli ya kusema kuna miungu mengine anafahamu kuwa kuna nguvu nyengine tofauti na yeye?

Je, hajiamini na nguvu zake?

Je, Mungu huyu ni tunayemuabudia wakristo na waislamu?

Je, ni binadamu wa mwanzo ambaye aliwahi kutambua siri za ulimwengu na akajitahidi kuzificha na hatimaye akajitolea taji la uungu?

Nawasilisha.
Hicho unachokiwaza kwa akili zako ndogo hakifikii hata robo ya robo ya robo ya robo ya akili za Mungu. Cha msingi amka hapo ulipolala jinyooshe kakojoe ulale na kujamba. Maana akili za Mungu hazichunguziki kama unavyofikiria wewe hapo kitandani.
 
Hicho unachokiwaza kwa akili zako ndogo hakifikii hata robo ya robo ya robo ya robo ya akili za Mungu. Cha msingi amka hapo ulipolala jinyooshe kakojoe ulale na kujamba. Maana akili za Mungu hazichunguziki kama unavyofikiria wewe hapo kitandani.
kwani mungu nae ni binadamu?
 
Fictional ni dhana au jambo la kufikirika halipo katika uhalisia ila katika mawazo ya kufikirika.

Nakuuliza kwa sababu concept ya MUNGU ni concept ya kiimani, kifikra, kimawazo, kiroho. Ukishasema MUNGU umegusa moja kwa moja imani, fikra, mawazo, spiritual being. Huwa sielewi concept ya kuprove uwepo wa MUNGU nje ya mambo ya kiroho.
 
Sifa gani na tabia zipi?
Nimekuuliza chanzo cha mtu ni nini? Hujanijibu.
Nimkuuliza muundo wa mtu ni upi, umesema ni muunganiko wa viungo vya mwili.

Ebu ya jibu kwanza hayo maswali ndipo tutapata majibu ya swali lako.
 
Nakuuliza kwa sababu concept ya MUNGU ni concept ya kiimani, kifikra, kimawazo, kiroho. Ukishasema MUNGU umegusa moja kwa moja imani, fikra, mawazo, spiritual being. Huwa sielewi concept ya kuprove uwepo wa MUNGU nje ya mambo ya kiroho.
Ndio maana nasema huyo Mungu yupo kwenye mawazo yenu ya kufikirika tu.

Hayupo katika uhalisia.
 
Vizuri sana Najua Historia ya Dunia!
Science history..
Churches History (Na hii Nimeifanyia Mtihani na nilipata A Course hii)...
Na hata Historia kwa kufuata Miaka na Simulizi za kibiblia..

Na baadhi ya Historia kutoka Uhindu,Uislam,Uchinani,na hata Uarabu kabla ya Mtume..

Sasa sijajua Ulikuwa umelenga upande gani kuilixa hilo swali
Kwa hiyo ibrahim source ya uumbwaji wake ni ndege na waafrika source ya uumbwaji wetu ni samaki?
 
REASON,the action of thinking about something in a logical, sensible way.
LOGIC is a science that deals with the principles and criteria of validity

usitafute msaada kwa dr mambo jambo
Talanta ya ubishi na ujuaji huwa sina mkuu, ok turidi kwenye mada.

Science ni maarifa ambayo yamegundulika na yanaweza kuthibitika.

Je, unafikiri hadi sasa sayansi imegundua kila kitu kinachohusu ulimwengu?
 
Ni nani?

Kwamba unataka awe mtu au kiumbe fulani?

Hili swali lako linafaa liwe Mungu ni nini?

Mungu ni neno la kufikirika tu ambalo kiuhalisia halipo.
Mkuu Mungu mtu fulani ivi mwenye hasira na kiburi , wivu,ubaguzi , wa jamii yake anayodai ni yeye kaiumba then ana shindwa kuwafanya wamtii bila kutumia maguvu hasira na msamaha.
 
Back
Top Bottom