Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Hivi kwanini Mungu ana wivu?

Naona bado haunielewi. Ebu tuliza akili yako na usije kwa lengo la kubishana bali kujifunza. Haihitaji akili za kimungu kujua na kutambua kwamba hatukujiumba tu wenyewe au we just existed from nowhere! Lazima kulikuwa na source.Hilo halihitaji akili za ziada lipo katika frame ya kibinadamu na muhimu zaidi yeye aliyeziprogram akili zetu aliweka hilo kwa makusudi!. Kuthibitisha hilo wala halihitaji nguvu kubwa! Uwepo wako na ulimwengu unatosha kuthibitisha hilo!
Ukishaweka neno lazima kuwe na source ya binadam basi ni lazima uiweke pia hiyo source kwa mungu
 
Naona bado haunielewi. Ebu tuliza akili yako na usije kwa lengo la kubishana bali kujifunza.
Kujifunza ni nini?

Naku uliza hivi, Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na source yake.

Source ya Mungu ni nini?

Kwa nini umu exclude Mungu kwenye kuwa na source?

Huyo Mungu aliwezaje kuwepo from no where?
Haihitaji akili za kimungu kujua na kutambua kwamba hatukujiumba tu wenyewe au we just existed from nowhere! Lazima kulikuwa na source.Hilo halihitaji akili za ziada lipo katika frame ya kibinadamu na muhimu zaidi yeye aliyeziprogram akili zetu aliweka hilo kwa makusudi!. Kuthibitisha hilo wala halihitaji nguvu kubwa! Uwepo wako na ulimwengu unatosha kuthibitisha hilo!
Dunia haikuumbwa.

Dunia ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo.

Kama haiwezekani dunia kuwepo yenyewe tu, Hata Mungu huyo haiwezekani awepo mwenyewe tu from nothing.

Otherwise, Si lazima kwamba tuliumbwa.

Kama ulazima huo upo, hata huyo Mungu lazima awe ameumbwa.
 
Kabla rip faza_nelly hujaniuliza swali, hukuwepo. Hukuexist, sikufahamu lolote kuhusu wewe, sikukuzungumza, sikukufahamu, sikukufikiria. In short hukuwepo kwenye ulimwengu wangu wowote, si wa kiroho si wa kifikra si halisi.

Ukisema hakipo maana yake ndo hiyo.
Hapa umejizungusha na kurefusha maneno tu.
 
Kiuhalisia Sifa zimegawanyika kwa makundi tofauti.

Kuna Sifa za ukamilifu na Sifa ambazo si ukamilifu.

Mfano wa sifa za ukamilifu kwa Mungu ni Upole,Huruma,Wivu,Ukali wa kuadhibu,Kulipiza kisasi,Nguvu, Kusikia,Kujua,Kuumba,Kuanzisha,Kuhuisha,kufisha n.k

Pia kuna sifa ambazo si za ukamilifu,hizi ni sifa ambazo hazimfai Mungu na hazipaswi kunasibishwa nae...mfano kula,kuzaa,kuzaliwa,kusaidiwa,kufa,kuchoka,kuzidiwa,kuumwa ,kulala ,kusinzia n.k

Kabisa mkuu.

Watu wana mtoa Mungu kwenye mzani huu wa kuwa na source halafu wanalazimisha binadamu na dunia viwe na source.

Ukiwa uliza source ya Mungu ni nini?

Wana rukaruka tu.
Ila mkuu chanzo cha Mungu ni mwanadamu bila mwanadamu kuwepo hii nadharia isingekuwepo, kwahiyo ni vizuri tukisema apo mwanzo mwanadamu akamuumba Mungu.
 
kuwa specific, utofauti katika nini?
Umesema mtu ni mnyama, mimi nasema ni kweli lakini mnyama hawezi kuwa mtu.

Kwa mtazamo wangu kinachomtofautisha mtu na wanayama/mimea ni maono(vision). Mtu anaongozwa na maono ila mnyama anaongozwa na hisia za ufahamu(instinct).
 
Ila mkuu chanzo cha Mungu ni mwanadamu bila mwanadamu kuwepo hii nadharia isingekuwepo, kwahiyo ni vizuri tukisema apo mwanzo mwanadamu akamuumba Mungu.
Kuna viumbe waliotangulia kuwepo kabla ya mwanadamu...kuna malaika,majini, wanyama,wadudu na mimea.

Mwanadamu ni kiumbe wa mwisho kuumbwa.
 
Kabla hujasema kitu hakipo kwanza tafsiri maana ya kutokuwepo.

Umesema mtu ni mnyama, mimi nasema ni kweli lakini mnyama hawezi kuwa mtu.

Kwa mtazamo wangu kinachomtofautisha mtu na wanayama/mimea ni maono(vision). Mtu anaongozwa na maono ila mnyama anaongozwa na hisia za ufahamu(instinct).

Kuna viumbe waliotangulia kuwepo kabla ya mwanadamu...kuna malaika,majini, wanyama,wadudu na mimea.

Mwanadamu ni kiumbe wa mwisho kuumbwa.
Unachanganya vitu vinavyothibitika na adakadabra za bwana abunuasi .
 
Umetumia kanuni gani apo unaposema lazima kuwe na chanzo ,na hiyo kanuni wakati huo huo inakataa Mungu kuwa na chanzo , hauoni apo ni kama kufunika kombe mwanaharamu apite?
Nimekwambia haihitaji akili za Kimungu nikimaanisha hata kwa akili yako yako ta kibinadamu unaweza kutambua hilo kwa kuwa lipo katika dimension yako! Sasa unapouliza kuhusu Mungu hiyo ni dimension tofauti ambayo kwa akili zangu haiwezi kuwa na majibu.
 
Ukishaweka neno lazima kuwe na source ya binadam basi ni lazima uiweke pia hiyo source kwa mungu
Aise naona unakuwa mgumu sana kuelewa. Akili zako wewe ni tofauti sana na akili za Mungu! Ni dimensions mbili tofauti kabisa.Sasa usilazimishe uelewa na ufahamu wako uhoji kuhusu uwezo na akili za Mungu.
 
Back
Top Bottom