rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 6,147
- 7,888
Kwani mungu ana akili?Aise naona unakuwa mgumu sana kuelewa. Akili zako wewe ni tofauti sana na akili za Mungu! Ni dimensions mbili tofauti kabisa.Sasa usilazimishe uelewa na ufahamu wako uhoji kuhusu uwezo na akili za Mungu.