thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,793
- 4,682
Simu ya mlengwa iwe na app ya find my device.Sasa kiongozi GPS ikiwa ON kwenye simu yake, unajuaje location aliyopo unatumia app au unafanyaje mkuu...?
Halafu unatakiwa uijue e-mail iliyotumika kwenye simu ya mlengwa.
Kisha, unaingia kwenye browser na unasearch find my device ambapo utaingiza email ya mlengwa.
Ukifanikiwa, utaona live location ya simu kwenye Google map. Kiufupi kupata ya simu Kwa GPS ni lazima kuwe kuna app itakayosoma latitude na longitude kwenye simu y mlengwa.
Njia nyingine ni IMEI na namba ya simu, hapa polisi na tcra wanahusika. Kwa sababu wao Wana haki kisheria ku-access taarifa za watu kwenye mitandao yote nchini.