iamriq_arthur
JF-Expert Member
- May 1, 2021
- 452
- 1,133
Kuna mtu nlimpa Bajaj ya mzigo kwa mkataba na amekimbia nayo hajulikani alipo, nikipiga simu hapokei na muda mwingne haipatikani kabisa. Ntawezaje kumpata mtu kama huyu..?
Kuna websites na apps nyingi tuu naweza kukutumia link but ni za kulipia, sio tuu kuona location yake, but unaweza soma text zake za whatsapp na telegram, unaweza sikia calls zake, unaweza kuona mambo yake yote.Kuna mtu nlimpa Bajaj ya mzigo kwa mkataba na amekimbia nayo hajulikani alipo, nikipiga simu hapokei na muda mwingne haipatikani kabisa. Ntawezaje kumpata mtu kama huyu..?
We dogo mshenzi sana kwaiyo hili ndo jukwaa la kupost hii thread ya wizi wa bajaji?
Anyway huyo humpati tena kwani hukumbuki plate number?
Basi hapo kwisha kazi unasubiri nn tena?Plate number naijua, na mzamini wake ni mama yake mzazi
Telegram walitoa Dola million Moja kwa yeyote anayeweza kuhack akaunti ya mwenzake na kusoma texts zake, kijana ulikua wapi?Kuna websites nyingi tuu naweza kukutumia link but ni za kulipia, sio tuu kuona location yake, but unaweza soma text zake za whatsapp na telegram, unaweza sikia calls zake, unaweza kuona mambo yake yote.
Ndo huwaga natumiaga kuwa monitor watu wangu wa karibu.
Dada umesahau kuweka namba ya mganga sasa 🤣🤣🤣Huyo maliza tu mchezo...watu vitani wanakufa bila hatia afu kajibwa kamoja kanaleta ulozi wa wazi...mzimie hukohuko...mbwa huyu😖
Kuna wahuni walizipata hizo dola?Telegram walitoa Dola million Moja kwa yeyote anayeweza kuhack akaunti ya mwenzake na kusoma texts zake, kijana ulikua wapi?
😂😂😂😂😂nimeandika tu mom,hasira tena....kiukweli mi vita sipendi naumia watu wanavyouana...ndiyo maana comments zangu ni jazba sana yaan....Daah,ee Mwenyezi Mungu itazame upya hii DuniaDada umesahau kuweka namba ya mganga sasa 🤣🤣🤣
Asante sana kwa ushauri wako, kesho ntaamuka nao na ntaanza kuufanyia kazi mapema iwezekanavyoUnafanya mambo ya mikataba hakikisha yupo mdhamini ambae anaweza kukulipa, kama ulimpa babaji na una ushahidi juu ya hilo nenda karipoti polic...
Sio mm ninaye miliki hizo websiteTelegram walitoa Dola million Moja kwa yeyote anayeweza kuhack akaunti ya mwenzake na kusoma texts zake, kijana ulikua wapi?
Unapenda uchawi wewe mwanamkeHuyo maliza tu mchezo...watu vitani wanakufa bila hatia afu kajibwa kamoja kanaleta ulozi wa wazi...mzimie hukohuko...mbwa huyu😖
Hakuna aliyetoboa ndo maana namshangaa huyu jamaa anavyosema anaweza kuhack tele na Whatsapp za mtu mwingine...Kuna wahuni walizipata hizo dola?
Ingia kituo cha polisi kitengo cha Cyber watakutafutia chap kwa harakaKuna mtu nlimpa Bajaj ya mzigo kwa mkataba na amekimbia nayo hajulikani alipo, nikipiga simu hapokei na muda mwingne haipatikani kabisa. Ntawezaje kumpata mtu kama huyu..?
Kaka na ntumie link maanahuwaga