Kwa wale mnaopenda hacking; Kuna tool inaitwa AndroRat unaweza hack Android device remotely ukasoma texts, calls, hadi location ya muhusika.

hermanthegreat

JF-Expert Member
Mar 2, 2021
853
2,037
Habari wakuu
Kwa watumiaji wa Kali Linux hii ni bab kubwa, hapa nawaza nianze kuifanya kama biashara najua vijana watakao hitaji kumiliki simu za wapenzi wao ni wengi.

Ipo hivi.

Kuna tool inaitwa AndroRat , Andro kama ufupisho wa neno Android, na Rat kama ufupisho wa neno Remote access Trojan.

Yaani unatengeneza Trojans ikiwa kwenye mfumo wa APK kisha unaituma kwa mhusika , kama vipi unaweza kuihifadhi hiyo Trojan kwa mfumo wa picha ili isiwe rahisi victim kushtukia.

Inafanyaje kazi?​

Cha kwanza lazima umtumie mtu apk au photo yoyote iliyoambatana na hiyo virus , Kisha ikifika kwenye simu yake inaanza kufanya kazi in the background, kwahyo kabla hujaituma lazima utengeneze kitu kinaitwa listening shell .

Mhusika au mlengwa akiinstall tu kwenye simu yake, inakutumia IP address yake, kwahyo wewe huku kwenye Linux yako inaanzisha connection.

Ikiconnect basi hata kama target akiirestart simu yake we unapiga kazi fresh tu.

Kutegemeana na lengo lako, unaweza kupiga hata picha kwa kutumia camera yake iliyo kwenye simu yake, ukaipata picha kwako, unaweza kucheki picha au files zote zilizo kwenye simu yake, unaweza pia kusoma texts zake, au calls nk.

Hii inatumiwa sana na mahackers wengi, ila wao hizo Trojans au virus wameziambatanisha kwenye apps au games mbalimbali unazoinstall kwenye simu yako.

Yaani wewe unapoinstall tu app iliyoathiriwa na virus hizi, wao wanapata taarifa zote zilizo kwenye simu yako kiasi kwamba account zako zinaweza kuhackiwa by a single click.
Screenshot_20231005-140600.png
 
Habari wakuu
Kwa watumiaji wa Kali Linux hii ni bab kubwa, hapa nawaza nianze kuifanya kama biashara najua vijana watakao hitaji kumiliki simu za wapenzi wao ni wengi.

Ipo hivi.

Kuna tool inaitwa AndroRat , Andro kama ufupisho wa neno Android, na Rat kama ufupisho wa neno Remote access Trojan.

Yaani unatengeneza Trojans ikiwa kwenye mfumo wa APK kisha unaituma kwa mhusika , kama vipi unaweza kuihifadhi hiyo Trojan kwa mfumo wa picha ili isiwe rahisi victim kushtukia.

Inafanyaje kazi?​

Cha kwanza lazima umtumie mtu apk au photo yoyote iliyoambatana na hiyo virus , Kisha ikifika kwenye simu yake inaanza kufanya kazi in the background, kwahyo kabla hujaituma lazima utengeneze kitu kinaitwa listening shell .

Mhusika au mlengwa akiinstall tu kwenye simu yake, inakutumia IP address yake, kwahyo wewe huku kwenye Linux yako inaanzisha connection.

Ikiconnect basi hata kama target akiirestart simu yake we unapiga kazi fresh tu.

Kutegemeana na lengo lako, unaweza kupiga hata picha kwa kutumia camera yake iliyo kwenye simu yake, ukaipata picha kwako, unaweza kucheki picha au files zote zilizo kwenye simu yake, unaweza pia kusoma texts zake, au calls nk.

Hii inatumiwa sana na mahackers wengi, ila wao hizo Trojans au virus wameziambatanisha kwenye apps au games mbalimbali unazoinstall kwenye simu yako.

Yaani wewe unapoinstall tu app iliyoathiriwa na virus hizi, wao wanapata taarifa zote zilizo kwenye simu yako kiasi kwamba account zako zinaweza kuhackiwa by a single click.
View attachment 2772655
Ngoja niscreenshot hizo steps kabisa kabla mods hawajapita nao huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No vigumu kufahamu lakini, kama unaona simu inaishiwa chaji haraka, au ukiangalia kwenye calls ni kama Kuna calls hujazipiga wewe ujue hapo kuna namna
Simu kuisha chaji namna gani? Kwa ni I kuisha kwachaji ya simu iwe kigezo cha kuwa hacked?
Kwa hiyo nifanye nini nisihakiwe?
Kwa nini simu za android tu ndio zinahakiwa?
Naonaga mtangazo ya hawa jamaa halafu najiuliza hivi kweli watu wanahakiwa?
 
Ngoja niscreenshot hizo steps kabisa kabla mods hawajapita nao huu uzi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu hizo steps hazifanyi kazi ila kwa kutumia commands, kwa mfano lazima utengeneze apk ambayo utahitaji kujua Ip address ya Linux yako, na ili uifahamu unatumia command inaitwa ip_a, lakini pia kuna unatumia simu Kali ili uinstall kwenye termux Kuna command hii​

"wget -O install-nethunter-termux https://offs.ec/2MceZWr

chmod +x install-nethunter-termux​

./install-nethunter-termux"​

Na zingine nyingi
 
Habari wakuu
Kwa watumiaji wa Kali Linux hii ni bab kubwa, hapa nawaza nianze kuifanya kama biashara najua vijana watakao hitaji kumiliki simu za wapenzi wao ni wengi.

Ipo hivi.

Kuna tool inaitwa AndroRat , Andro kama ufupisho wa neno Android, na Rat kama ufupisho wa neno Remote access Trojan.

Yaani unatengeneza Trojans ikiwa kwenye mfumo wa APK kisha unaituma kwa mhusika , kama vipi unaweza kuihifadhi hiyo Trojan kwa mfumo wa picha ili isiwe rahisi victim kushtukia.

Inafanyaje kazi?​

Cha kwanza lazima umtumie mtu apk au photo yoyote iliyoambatana na hiyo virus , Kisha ikifika kwenye simu yake inaanza kufanya kazi in the background, kwahyo kabla hujaituma lazima utengeneze kitu kinaitwa listening shell .

Mhusika au mlengwa akiinstall tu kwenye simu yake, inakutumia IP address yake, kwahyo wewe huku kwenye Linux yako inaanzisha connection.

Ikiconnect basi hata kama target akiirestart simu yake we unapiga kazi fresh tu.

Kutegemeana na lengo lako, unaweza kupiga hata picha kwa kutumia camera yake iliyo kwenye simu yake, ukaipata picha kwako, unaweza kucheki picha au files zote zilizo kwenye simu yake, unaweza pia kusoma texts zake, au calls nk.

Hii inatumiwa sana na mahackers wengi, ila wao hizo Trojans au virus wameziambatanisha kwenye apps au games mbalimbali unazoinstall kwenye simu yako.

Yaani wewe unapoinstall tu app iliyoathiriwa na virus hizi, wao wanapata taarifa zote zilizo kwenye simu yako kiasi kwamba account zako zinaweza kuhackiwa by a single click.
View attachment 2772655
Sidhani kama itaweza fanya kazi kwa android za sasa hivi zenye google play protect. Itaishia kuwa detected na system na kukunotify uiondoe
 
Simu kuisha chaji namna gani? Kwa ni I kuisha kwachaji ya simu iwe kigezo cha kuwa hacked?
Kwa hiyo nifanye nini nisihakiwe?
Kwa nini simu za android tu ndio zinahakiwa?
Naonaga mtangazo ya hawa jamaa halafu najiuliza hivi kweli watu wanahakiwa?
Ili usihackiwa hushauliwi kuinstall application ovyo, au kubonyeza kila link unayotumiwa,
Afu sio Android tu zinazohackiwa, hata pc yako, au OS nk

Kuamini kuhusu kuhakiwa ni ngumu kutegemeana na mazingira ambayo wabongo tunaishi, kesi kama hizi ni chache sana, ila unavyozidi kufatilia ndio utaelewa zaidi mkuu
 
Linux naipataje?
Install termux kwanza kupitia hapa Termux | F-Droid - Free and Open Source Android App Repository
Then bonyeza 97mb download apk chini apo kwenye link.
Then run command "termux-setup-storage" bonyeza allow

Kisha run hii command afu uiruhusu
Then then run command "apt update "
Ikimaliza run command "apt upgrade"
Acha hadi ifike 100%
Then install Linux sasa , Kuna commands nyingi za kuinstall Linux ila njia moja na ya haraka ni kwa kutumia hii command moja
" wget -O install-nethunter-termux https://offs.ec/2MceZWr
chmod +x install-nethunter-termux
./install-nethunter-termux"

Run hiyo command hadi iandike neno Kali, hakikisha una bando zaidi ya GB moja, then bonyeeza no.1, full, then iruhusu , ukifika sehemu umeulizwa [Y/N] bonyeza N kumanisha No, Kisha acha iendelee kama dakika 5 hivi,

Itaandika neno kali kama kwenye screenshot hapa , na ndio utakuwa umeipata Kali, ili uanza kuitumia una run command "nh"
Screenshot_20231002-132611.png
Screenshot_20231005-164215.png
 
Sidhani kama itaweza fanya kazi kwa android za sasa hivi zenye google play protect. Itaishia kuwa detected na system na kukunotify uiondoe
Hiyo google play protect kabla ya kufanya haya mavitu una disable then unaendelea bila shida yoyote...
 
Back
Top Bottom