Mtu kaokota simu yangu hataki kunipa

Kamgomoli

JF-Expert Member
May 3, 2018
1,865
3,802
Wataalamu wa sheria hivi sheria inasemaje kama mtu akiokota kitu ambacho si chake? Je ni sawa akiking'ang'ania hata ukijua kuwa ndie alieokota?

Kuna mtu ameokota simu yangu baada ya kumpigia akapokea na akanielekeza sehemu nimfate. Nilipomfuata nikamkuta na simu ila akataka nimpe hela ndio anirudishie. Hela aliyoitaja ni kama nainunua tena simu yangu.

Hivi nikiamua kumchukulia hatua sheria inasemaje hapo?
 
Wataalamu wa sheria hivi sheria inasemaje km mtu akiokota kitu ambacho si chake? Je ni sawa akiking'ang'ania hata ukijua kuwa ndie alieokota?

Kuna mtu ameokota simu yangu baada ya kumpigia akapokea na akanielekeza sehemu nimfate.Nilipomfata nikamkuta na simu ila akataka nimpe hela ndio anirudishie.Hela aliyoitaja ni km nainunua tena simu yangu. Hivi nikiamua kumchukulia hatua sheria inasemaje hapo?

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
He is stealing from you!
 
Wataalamu wa sheria hivi sheria inasemaje kama mtu akiokota kitu ambacho si chake? Je ni sawa akiking'ang'ania hata ukijua kuwa ndie alieokota?

Kuna mtu ameokota simu yangu baada ya kumpigia akapokea na akanielekeza sehemu nimfate. Nilipomfuata nikamkuta na simu ila akataka nimpe hela ndio anirudishie. Hela aliyoitaja ni kama nainunua tena simu yangu.

Hivi nikiamua kumchukulia hatua sheria inasemaje hapo?
mpeleke polisi
 
Mchukulie sheria ikiwezekana sema uliibiwa begi lenye simu na hela.

Kuna jamaa mmoja mwaka juzi nae alifanya ujinga huo Dom, mwishowe familia ikauza eneo ili imtoe ndani na kumlipia gharama za vitu vilivyotajwa kuwepo ndani ya mkoba.
Sure, au aseme kabisa nyumba ilivunjwa na kuibiwa, then some of the properties zilizoibiwa ni simu na amemkuta nayo huyo mtu
 
Mchukulie sheria ikiwezekana sema uliibiwa begi lenye simu na hela.

Kuna jamaa mmoja mwaka juzi nae alifanya ujinga huo Dom, mwishowe familia ikauza eneo ili imtoe ndani na kumlipia gharama za vitu vilivyotajwa kuwepo ndani ya mkoba.
Akisema aliibiwa na jamaa kaongea nae, tutajuaje kama karekodi mazungumzo?

Huoni akienda kusema atakuwa anajifunga kwamba kaibiwa na wakati mazungumzo anasema kaiangusha?
 
Akisema aliibiwa na jamaa kaongea nae, tutajuaje kama karekodi mazungumzo?

Huoni akienda kusema atakuwa anajifunga kwamba kaibiwa na wakati mazungumzo anasema kaiangusha?
Jiulize huyo wa dom aliwezaje kuwaaminisha polisi kuwa hakudondosha bali aliibiwa, hili linawezekana sana.
 
Wataalamu wa sheria hivi sheria inasemaje kama mtu akiokota kitu ambacho si chake? Je ni sawa akiking'ang'ania hata ukijua kuwa ndie alieokota?

Kuna mtu ameokota simu yangu baada ya kumpigia akapokea na akanielekeza sehemu nimfate. Nilipomfuata nikamkuta na simu ila akataka nimpe hela ndio anirudishie. Hela aliyoitaja ni kama nainunua tena simu yangu.

Hivi nikiamua kumchukulia hatua sheria inasemaje hapo?
Mgeuzie kibao Cha wizi. Unamchukulia police faster tu
 
Wataalamu wa sheria hivi sheria inasemaje kama mtu akiokota kitu ambacho si chake? Je ni sawa akiking'ang'ania hata ukijua kuwa ndie alieokota?

Kuna mtu ameokota simu yangu baada ya kumpigia akapokea na akanielekeza sehemu nimfate. Nilipomfuata nikamkuta na simu ila akataka nimpe hela ndio anirudishie. Hela aliyoitaja ni kama nainunua tena simu yangu.

Hivi nikiamua kumchukulia hatua sheria inasemaje hapo?

Kimsingi, kanuni nyingi za kisheria zinakubaliana kuwa mtu anayepata kitu ambacho sio chake anapaswa kuchukua hatua za kujaribu kumtafuta mmiliki halali wa mali hiyo na kurejesha mali hiyo kwake. Hii inaweza kujumuisha kutoa tangazo la kupoteza au kuokota, kuwasiliana na mamlaka husika kama vile polisi, au kuchukua hatua zingine zinazofaa kulingana na mazingira husika.

Ikiwa mtu anayepata kitu anachagua kugoma kukirejesha wakati anajua kuwa sio chake, inaweza kuwa inaonekana kama wizi au kujaribu kumiliki mali isiyokuwa yake. Katika hali kama hiyo, sheria inaweza kumtaja mtu huyo anakiuka sheria na anaweza kushtakiwa kwa kosa la wizi au ulaghai.

Ili kupata ushauri sahihi na wa kina juu ya hali ya kisheria katika eneo lako, ni vyema kuwasiliana na wataalamu wa sheria wanaofanya kazi katika mamlaka husika.
 
Sure, au aseme kabisa nyumba ilivunjwa na kuibiwa, then some of the properties zilizoibiwa ni simu na amemkuta nayo huyo mtu
Maana huyu muokota simu anazingua, anashindwa hata kutanguliza utu mbele naamini angepewa shukrani hata kama ni kidogo. Wema ni akiba.
 
Wataalamu wa sheria hivi sheria inasemaje kama mtu akiokota kitu ambacho si chake? Je ni sawa akiking'ang'ania hata ukijua kuwa ndie alieokota?

Kuna mtu ameokota simu yangu baada ya kumpigia akapokea na akanielekeza sehemu nimfate. Nilipomfuata nikamkuta na simu ila akataka nimpe hela ndio anirudishie. Hela aliyoitaja ni kama nainunua tena simu yangu.

Hivi nikiamua kumchukulia hatua sheria inasemaje hapo?
Nendakaripoti kituo cha police
 
Utotoni tulikuwa na wimbo, 'cha kuokota sio cha kuiba, mwenye mali ndio mjinga'.

Pesa utakayotumia kufuatilia kesi ni sawa na kumpa tu huyo jamaa akupe simu yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom