Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Hii elimu nowadays sijui tumebugi wapi, hivi unashindwaje kujua wilaya za mikoa ya Tanzania? Hapo ukiulizwa majina ya wachezaji wa Man U au Liver unayajua yoooteee mpaka bench la ufundi [emoji23] [emoji23]...
Zitanisaidia nini kwenye utaftaji wangu wa asaivi uku kitaa? Mi siuzi wilaya wala sinunui mikoa mkuu
 
Mimi route yangu ndefu ni hii ya dar songea kupitia Lindi. Kuna siku nilikuwa na rafiki yangu tunatoka songea. Kufika Lindi akashuka, akaja Dar kesho yake.
Sasa nyinyi mnaoendelea Hadi Mbinga sijui mnachokaje.
Tumeshazoea wakunyumba, Dar tunaingia siku hiyo hiyo.
 
Wewe ni wakukurupuka kama jina lako... Wapi mtoa mada ameongelea ishu ya mabasi... Kajifunze kuelewa sentensi za kiswahili kwanza ndio ulete ukurupukaji wako... Hapa tunaongelea route
Wakukurupuka v/s wakuvuruga.
Inapozungumzwa route sote tunaelewa ni usafiri wa abiria. Usafiri binafsi mtu anaweza akaamua kutumia njia ndefu akatoka mtwara akapita Arusha ndio aende Mwanza.
Kama utataka kila mtu aelewa madam anavyotaka Mimi naona route ndefu ni kuanzia Johannesburg Afrika kusini Hadi Cairo nchini Misri. Hiyo ndiyo route ndefu kila mtu akimuelewa mtoa mada anavyotaka mwenyewe.
 
Back
Top Bottom