Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Mwaka 2015 nilitoka Mbinga mpaka Karagwe Kagera.
Hitimisho la safari yangu, asilimia zaidi ya 65 ya Tanzania ni pori

65% ni kubwa sana fanya 80% ya hii nchi ni mapori kidogo kanda ya ziwa vijiji ni vingi,njia ya kusini ni mapori matupu
 
City boy na frester yanaenda karagwe....mabasi mengi ni mwamza karagwe...
Mabasi mengi huishia bukoba mjini....lakin bukoba mjini to karagwe kuna costa na daladala kibao hadi saa mbili usiku unapata gari kuelekea karagwe
Na ili uende bila kujichosha,panda Abood ambayo inafika bukoba mapema unalala ukiamka kesho kwenye saa nne unapanda coaster kuelekea karagwe kuliko kupanda ile city boy...kwanza ni chafu na haina mwendo wala uzingativu wa muda
 
Theoretically ni fupi, ila sababu ni rough road na milima ya ajabu ajabu ndio maana mabasi huikwepa. Ila kama una private SUV, ni fupi sana.

Kuna nyingine unapita hiyo lami, ukifika igunga unaacha lami[unakwepa mzunguko wa nzega, shy na mwigumbi], unaingia kulia unatembea na vumbi unakuja tokea maswa, just 30 kms to bariadi. Ukiwa na SUVs shortcuts ni nyingi.
Ni kweli kiongozi, lakini kuna hii nyingine ambayo ipo kwenye mpango wakutengenezwa kiwango cha LAMI..km 340+ kama sijakosea,
Arusha- Karatu-Mbulu - Hydom- Sibiti- Maswa....kabla ya kufika Maswa utarudi mashariki iliuingie Bariadi..nadhani hii ikiisha itakuwa FUPI hasa kwa wale wanaotokea Arusha
 
Na ili uende bila kujichosha,panda Abood ambayo inafika bukoba mapema unalala ukiamka kesho kwenye saa nne unapanda coaster kuelekea karagwe kuliko kupanda ile city boy...kwanza ni chafu na haina mwendo wala uzingativu wa muda
Sahihi kabisa. Juzi nimepishana na hiyo City Boy mida ya 12 jioni Dodoma nikajiuliza hili basi liko serious kweli?? nikajiuliza litafika lini huko Karagwe.
 
Ni kweli kiongozi, lakini kuna hii nyingine ambayo ipo kwenye mpango wakutengenezwa kiwango cha LAMI..km 340+ kama sijakosea,
Arusha- Karatu-Mbulu - Hydom- Sibiti- Maswa....kabla ya kufika Maswa utarudi mashariki iliuingie Bariadi..nadhani hii ikiisha itakuwa FUPI hasa kwa wale wanaotokea Arusha
Hii itakuwa nzuri sana. Arusha na Bariadi zitaungana sana kiuchumi.
 
Back
Top Bottom