Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Mbamba bay/dar es salaam,

Mbinga dar tunashukuru kwasasa gari inatoka saa 9 usiku na dar tunaingia mapema sana,

Thanks/selous,superfeo[emoji257]
 
OKay...ila hii route kama ingekua hili boda la kupasua iringa utokee dodoma badala wangekua wanaendekea kuzungukia moro then Dom , basi probably ingekua ndio the longest route ever
Kweli ingekuwa ndefu, wanapita Iringa/Dom,

Sema superfeo katuokoa watu wa Mbinva/mbamba bay, kuna route itakuja ya Mbamba bay to Tabora.
 
Back
Top Bottom