Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,883
- 5,270
BRD-ARUSHA kuna njia mbili.Nilisafiri kutoka Arusha - Simiyu (Bariadi mjini), Safari ikawa ndefu sana, Kumbukumbu zangu zinaniambia hii mikoa si imepakana? nika Google ramani, Nikajiridhisha, sasa mbona hatufiki? nikamuita konda Nikamuuliza taratibu, "kwani si tunaenda hapa(nikamuonesha kwenye simu)? Mbona hatufiki na hakuna milima ya kukwepa kusema tuzunguke? Sijawahi kuelewa urefu wa ile safari na isitoshe Baridi ni mwanzoni kabisa.
Lami: hii unatoka ARS BBT SGD IGNG NZG SHY MASW THEN BRD, Hii unazunguka duara nusu duara.
vumbi: ARS BBT Unaingia kulia, unapita BASHNET DONGOBESH MKARAMA MEATU LAINI UNAINGIA BARIADI. Hii unacross duara, ila kimsingi unazunguka tu ndani ya duara. Pia ni rough road na hapo bashnet kuna milima.
inabidi itengenezwe lami ya hiyo rough road niliyoieleza.