Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Nilisafiri kutoka Arusha - Simiyu (Bariadi mjini), Safari ikawa ndefu sana, Kumbukumbu zangu zinaniambia hii mikoa si imepakana? nika Google ramani, Nikajiridhisha, sasa mbona hatufiki? nikamuita konda Nikamuuliza taratibu, "kwani si tunaenda hapa(nikamuonesha kwenye simu)? Mbona hatufiki na hakuna milima ya kukwepa kusema tuzunguke? Sijawahi kuelewa urefu wa ile safari na isitoshe Baridi ni mwanzoni kabisa.
 
Route ndefu kutoka Dar to Kigoma mzee trein siku tatu basi siku moja na nusu ukipita uko kama kahama ndio kabisa unasahau kua uko na safari ya kwenda kigoma unakaa mpk makalio sugu inatanda ganzi ndio usiseme

Kigoma ni siku 1 tuu mzee sema basi zilikua zinalala tabora sababu kuna msitu kat kat hapo ulikua ni tishio Ila karagwe n mbali balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom