Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Hivi kuna Route ndefu kuishida Dar - Karagwe?

Nilisafiri kutoka Arusha - Simiyu (Bariadi mjini), Safari ikawa ndefu sana, Kumbukumbu zangu zinaniambia hii mikoa si imepakana? nika Google ramani, Nikajiridhisha, sasa mbona hatufiki? nikamuita konda Nikamuuliza taratibu, "kwani si tunaenda hapa(nikamuonesha kwenye simu)? Mbona hatufiki na hakuna milima ya kukwepa kusema tuzunguke? Sijawahi kuelewa urefu wa ile safari na isitoshe Baridi ni mwanzoni kabisa.
Kuna barabara ya shortcut kutoka Bariadi to Arusha ila kipind cha mvua haipitik inapita pori la akiba meatu, hapo ni masaa matatu unatumia ila ukipita shy, igunga, manyon ndo parefu
 
Aise last week nilikuwa nasafari ya Dar - Tarime, uzalendo ukanishinda nikashuka Mwanza nikalala kesho yake nikaendelea na safari.
[emoji23] mbona ulishakaribia kufika ila ulikata tamaa mapema
 
Dar kigoma kupitia kahama runzewe Nyakanazi kibondo kasuru kigoma ni zaidi ya dar Karagwe pia musoma dar nizaidi ya dar karagwe
Ila hakuna hii route, ipo ya Arusha kupitia kahama, kiazi kitamu na Arusha express
 
Dar Es Salaam, Pwani, Morogoro, Dodoma, Singida, Tabora, Shinyanga, Kagera ~Karagwe Kayanga
 
Back
Top Bottom