Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 6,340
- 8,242
Apo ni mwendo wakufaulishwa tuš¤£Walikuw wanafika boss nimeishaipanda shy-tanga
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Apo ni mwendo wakufaulishwa tuš¤£Walikuw wanafika boss nimeishaipanda shy-tanga
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mwanza to mbinga ni mwanaukome kama ipo... Hiyo ya Karagwe isubiriHujui kuwa kuna route toka Mwanza kwenda Mbinga?
Mwanza kwenda Mbeya?
Apo kama unachora maji mtunginiMwanza to mbinga ni mwanaukome kama ipo... Hiyo ya Karagwe isubiri
Kuna Songea to Moshi.....
Ila hamna basi inapita?Kuna barabara ya shortcut kutoka Bariadi to Arusha ila kipind cha mvua haipitik inapita pori la akiba meatu, hapo ni masaa matatu unatumia ila ukipita shy, igunga, manyon ndo parefu
Nasikia mnauziwa udongoSisi wa kwa mwamposa tuna usafiri wetu,unatupeleka popote alipo mwamposa[emoji120]
Haiwezi kuwa, maana Mtwara Dar haifiki 600Sio kweli route ndefu ni MTWARA kwenda TARIME inafika KM 2100