luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,709
- 8,918
Ushapima?Nje ya mada, hapo Karagwe nilikaa miaka 2 nikatembea na mabinti wa kinyambo 31 watam wako kama wanya rwanda na wengi wana DAWASA
Ushapima?Nje ya mada, hapo Karagwe nilikaa miaka 2 nikatembea na mabinti wa kinyambo 31 watam wako kama wanya rwanda na wengi wana DAWASA
Umewahi kusafiri kutoka Mbeya - Mtwara?
Nilisafiri kutoka Arusha - Simiyu (Bariadi mjini), Safari ikawa ndefu sana, Kumbukumbu zangu zinaniambia hii mikoa si imepakana? nika Google ramani, Nikajiridhisha, sasa mbona hatufiki? nikamuita konda Nikamuuliza taratibu, "kwani si tunaenda hapa(nikamuonesha kwenye simu)? Mbona hatufiki na hakuna milima ya kukwepa kusema tuzunguke? Sijawahi kuelewa urefu wa ile safari na isitoshe Baridi ni mwanzoni kabisa.
Tz kwasasa kwenye usafirishaji imeoiga hatua sana.Toka imetengenezwa ile border ya Dodoma kuja Iringa katika kiwango cha lami imefungua safari nying sanaaaKuna siku nilikuwa safarini tukapishana na bus ya mwanza-mbeya, nilishangaa kwakweli
Dar kigoma kupitia kahama runzewe Nyakanazi kibondo kasuru kigoma ni zaidi ya dar Karagwe pia musoma dar nizaidi ya dar karagweWanasemaga Kigoma mwisho wa reli
Kuna Route ndefu kutoka Dar kwenda mikoa mingine kuliko Karagwe kweli! Naona ni balaa parefu halafu basi lipo moja tu City boy[emoji23][emoji23]
Dar sumbawanga ifikii dar Karagwe dar musomaDar to Sumbawanga vp hapo?
Vipi DSM to Kigoma?Haifikii Dar - Mbinga
Barbara inafunguka kupisha mbuga.Nilisafiri kutoka Arusha - Simiyu (Bariadi mjini), Safari ikawa ndefu sana, Kumbukumbu zangu zinaniambia hii mikoa si imepakana? nika Google ramani, Nikajiridhisha, sasa mbona hatufiki? nikamuita konda Nikamuuliza taratibu, "kwani si tunaenda hapa(nikamuonesha kwenye simu)? Mbona hatufiki na hakuna milima ya kukwepa kusema tuzunguke? Sijawahi kuelewa urefu wa ile safari na isitoshe Baridi ni mwanzoni kabisa.
Na hupiti mikoa ya baridi😀😀😀😀 unaweza kuvaa singlend Hadi unafika Songea, pitia iringa Sasa weeh!! Kuipita njombe bila gujaketi hutoboi!!Na haina milima pia.
Murongo ni nyumbani pia. Kona zote hadi Kigagati napafahamu.Karibu murongo
Wewe unakaa wapi!??Kuna siku nilikuwa safarini tukapishana na bus ya mwanza-mbeya, nilishangaa kwakweli
Nilikuwa natafuta neno murongo,, nilikuwa na safari hilo eneo kutokea dar,, na kuunganisha msibani minziro karibu na ug chamoto nilikipata niliugua wiki nzima, kagera ni mbali jamaniLabda tupate uwanja mdogo Kayanga Karagwe ili tukitua pale unakamata Costa za Kyerwa! Sasa ukifika Kyerwa kuna maraia wanakamata hiace za Murongo! Acha kabisa!
Ipo ya DAR - KAMPALA. Unapita huko Karagwe ...Mutukula
Muongo wwDar Mwanza, 1250, Mwanza Makutano 230, jumla 1480, Makutano Tarime 80, jumla 1560. The same kwenda Serengeti. Kwemda Sirari ni zaidi.
Dah! Mambo ya unyevunyevy[emoji39]Nje ya mada, hapo Karagwe nilikaa miaka 2 nikatembea na mabinti wa kinyambo 31 watam wako kama wanya rwanda na wengi wana DAWASA
16na machenji yake chiefTaja kilomita zake
Mbinga to karagwe is 1746KMMbinga (Ruvuma) to Karagwe (Kagera), hiyo ndio Ina kilomita nyingi zaidi hapa TZ. au Liwale(Mtwara) -Karagwe.
JESUS IS LORD
Tena kipengele kizitoJamani route ya Tanga kwenda mara je? Km ngapi? Je napo ni kipengele ee
Sent from my TECNO LE6 using JamiiForums mobile app