Hivi kuna Mtanzania asie wa Chama chochote cha siasa moyoni mwake ili awe Mwenyekiti wa Tume Huru ya taifa uchaguzi kwa mujibu wa mapenzi ya CHADEMA?

Hivi kuna Mtanzania asie wa Chama chochote cha siasa moyoni mwake ili awe Mwenyekiti wa Tume Huru ya taifa uchaguzi kwa mujibu wa mapenzi ya CHADEMA?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,834
Yupo wapi huyo?
Hivi ni wapi Africa Mashariki kwa mfano, Mwenyekiti wa Tume huru ya taifa ya uchaguzi hateuliwi na Rais?

Ni nchi gani Africa michakato ya teuzi za umma kitaifa hazipitii kwa rais na mkuu wa nchi?

Hivi kwa madai ya chadema mtu huyo ateuliwe na nani sasa kwa mfano? Au ateuliwe na malaika waropokaji wa Chadema ndio ionekane ni tume ya Taifa?

cc. Adv.Bob Robert Amsterdam 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 

Attachments

  • IMG-20250414-WA0022.jpg
    IMG-20250414-WA0022.jpg
    7.7 KB · Views: 18
Yupo wapi huyo?
Hivi ni wapi Africa Mashariki kwa mfano, Mwenyekiti wa Tume huru ya taifa ya uchaguzi hateuliwi na Rais?
Ni nchi gani Africa michakato ya teuzi za umma kitaifa hazipitii kwa rais na mkuu wa nchi?

Hivi kwa madai ya chadema mtu huyo ateuliwe na nani sasa kwa mfano? Au ateuliwe na malaika waropokaji wa Chadema ndio ionekane ni tume ya Taifa?

cc. Adv.Bob Robert Amsterdam 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
Watu wenye uwezo finyu wa aina yako wa kufikiri, ndiyo viongozi wa nchi yetu.
 
Wajinga wakubwa nyie, nafasi kama hizo zitangazwe watu washindane kwa sifa na weledi, mnaweka makada wa CCM kuwa wasimamizi ni ujinga tupu
wakuu wote wa tasisi za umma nchini, wataeuliwa na mkuu wa nchi kwa mujibu wa sheria.
Hili ukamueleza na mwenyekiti wa chama chako bila kificho tafadhali 🐒
 
wakuu wote wa tasisi za umma nchini, wataeuliwa na mkuu wa nchi kwa mujibu wa sheria.
Hili ukamueleza na mwenyekiti wa chama chako bila kificho tafadhali 🐒
Hakuna wakuu wa taasisi pale zaidi ya UVCCM na UWT, wajinga wakubwa nyie, sheria za kijinga kabisa zimewekwa na wajinga wenzio. Kwanini nafasi zisishindanishwe?
 
Hakuna wakuu wa taasisi pale zaidi ya UVCCM na UWT, wajinga wakubwa nyie, sheria za kijinga kabisa zimewekwa na wajinga wenzio. Kwanini nafasi zisishindanishwe?
Ukiona hivyo,
hao ndio waTanzania wenye sifa za kimaadili na kiutendaji kwa mujibu wa sheria shika nafasi hizo,

hakuna mropokaji anaeweza kuteuliwa kushika wadhifa wa kitaifa gentleman kwa mujibu wa katiba 🐒
 
Ukiona hivyo,
hao ndio waTanzania wenye sifa za kimaadili na kiutendaji kwa mujibu wa sheria shika nafasi hizo,

hakuna mropokaji anaeweza kuteuliwa kushika wadhifa wa kitaifa gentleman kwa mujibu wa katiba 🐒
We shetani sijui hata kama unaelewa, nimekwambia nafasi zitangazwe watanzania waombe na siyo ziwe za UVCCM na UWT pekee
 
Live ballot box ndio suluhisho la mchezo. Uchaguzi ufanyike kama Polls za JF tu. Watu wanapewa muda kama ni week nzima wapige kura. Kila mkoa kila mtaa. No bullshit percentage zinasoma live%
 
We shetani sijui hata kama unaelewa, nimekwambia nafasi zitangazwe watanzania waombe na siyo ziwe za UVCCM na UWT pekee
sasa wewe malaika mama Ima, ukiangalia pale BAWACHA kuna kitu kingine wanaweza zaidi ya kuchoma vitenge?

nani atateu wachoma vitenge?yaani wateuliwe watu wasio na maadili ili wakachome ofisi wakidhani ni vitenge?🐒
 
Back
Top Bottom