Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,232
- 6,479
Halo JF siasa.
Ktk Uzi huu sitamtaja mtu na hivyo wachangiaji pia wasitaje jina la mtu. Inafahamika wazi nini kinachojiri ktk familia kubwa pendwa nchini. Kuna wababa wawili wanadhamiwa kuikimbia familia hii.
Baba moja machachari ameacha kijana wake ktk familia hii kubwa. Kijana si haba, anatamani siku moja kuwa baba wa familia na kuongoza jumuiya nzima kama vipi. Mapito yake ya sasa nayo yana changamoto lakini ktk suala zima la kuongoza familia, chochote chaweza kutokea na kubadilisha historia. Kumbuka hata baba mkuu wa hivi sasa hakupewa nafasi wala kudhaniwa.
Ndiyo maana nauliza nini hatma ya kijana machachari mwenye ndoto ya kuwaza makubwa baada ya Baba kuikimbia familia?
Ktk Uzi huu sitamtaja mtu na hivyo wachangiaji pia wasitaje jina la mtu. Inafahamika wazi nini kinachojiri ktk familia kubwa pendwa nchini. Kuna wababa wawili wanadhamiwa kuikimbia familia hii.
Baba moja machachari ameacha kijana wake ktk familia hii kubwa. Kijana si haba, anatamani siku moja kuwa baba wa familia na kuongoza jumuiya nzima kama vipi. Mapito yake ya sasa nayo yana changamoto lakini ktk suala zima la kuongoza familia, chochote chaweza kutokea na kubadilisha historia. Kumbuka hata baba mkuu wa hivi sasa hakupewa nafasi wala kudhaniwa.
Ndiyo maana nauliza nini hatma ya kijana machachari mwenye ndoto ya kuwaza makubwa baada ya Baba kuikimbia familia?