Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,440
- 106,137
Waswahili wanasema "Cha mtu mavi". Uso umeumbwa na haya, hata kabla ya jirani kukuambia hilo uliona au ulitakiwa kuona alama kwamba hutakiwi kuwa tegemezi hivyo.
Wabongo wengi tunapenda dezo sana. Tunakuwa mzigo. Nilichogundua ni kwamba hizi habari za "carpooling" zipo hata nchi zilizoendelea, kwa sababu si kila mtu ana gari, au hata kama kila mtu ana gari mara nyingine inakuwa hai-make sense watu wawili mnaenda ofisi moja na kukaa mtaa mmoja mchukue magari mawili, kwa hiyo mnaamua kuchukua gari moja. Lakini wenzetu wanaogopa sana vya bure. Kuitwa "freeloader" ni tusi kubwa sana. Kwa hiyo mara nyingi unakuta watu wana "chip in" mtu hata kama hana gari, anatoa hata hela ya mafuta.
Sina hakika kama ulikuwa ukitoa hata hela ya mafuta, lakini uzoefu wangu na lifti za kibongo sijaona mtu kuchangia hela ya mafuta hata ndogo tu ya "token gesture".
Unaweza kumlaumu mwenye gari kwa kuwa blunt, lakini mara nyingine uwazi ndio unatakiwa zaidi. Sasa hapo mtu kapewa challenge ajitegemee.
Ndiyo maana nasema "Ujamaa na Kujitegemea" umetuharibu.
Wabongo wengi tunapenda dezo sana. Tunakuwa mzigo. Nilichogundua ni kwamba hizi habari za "carpooling" zipo hata nchi zilizoendelea, kwa sababu si kila mtu ana gari, au hata kama kila mtu ana gari mara nyingine inakuwa hai-make sense watu wawili mnaenda ofisi moja na kukaa mtaa mmoja mchukue magari mawili, kwa hiyo mnaamua kuchukua gari moja. Lakini wenzetu wanaogopa sana vya bure. Kuitwa "freeloader" ni tusi kubwa sana. Kwa hiyo mara nyingi unakuta watu wana "chip in" mtu hata kama hana gari, anatoa hata hela ya mafuta.
Sina hakika kama ulikuwa ukitoa hata hela ya mafuta, lakini uzoefu wangu na lifti za kibongo sijaona mtu kuchangia hela ya mafuta hata ndogo tu ya "token gesture".
Unaweza kumlaumu mwenye gari kwa kuwa blunt, lakini mara nyingine uwazi ndio unatakiwa zaidi. Sasa hapo mtu kapewa challenge ajitegemee.
Ndiyo maana nasema "Ujamaa na Kujitegemea" umetuharibu.