Hivi, jirani kwanini hununui gari?

Wengine hawapendi kutoa lift kwa kuwa mara nyingine wanahitaji privacy. Kuna jirani yangu mmoja mara nyingi hupenda lift wakati wa kutoka kazini; atapiga simu na kuuliza: "unaondoka saa ngapi mkuu?". Sasa shida ni kwamba mara nyingi mie nina mizunguko yangu, ikiwemo ya nyumba ndogo, kwa hiyo inakuwa ngumu kufuatana na mtu kwenye mambo yako private. Ukimwambia nitachelewa leo, anasema naye atachelewa kwa hiyo umshitue wakati wa kuondoka. Mambo gani haya? Mimi nadhani kama kuna watu wanaona kununua gari sio muhimu basi wawe tayari kupanda daladala.
 
Dah wakat flan mfumo wa maisha hu2fanya 2lie kwa changamoto zngne znazoumiza nafs na mioyo ye2!Pole mkuu, imeniumiza japo c mim mtendewa!Chukulia ni chalenge ikupe dira na ari zaid ya MAFANKIO yko!Neva het hm het ze cstim!
 
Mtegee misumari anapotoka kwake au mahali anapokuoea lift halafu usipande yeye na wapambe wake uwapite njiani uwahi ofisini kuwaonyesha hata yeye anahitaji msaada kwani atazikwa nalo
vidole vya mkono havilingani na si wote tutakufa siku moja ww msubiri tu atajileta
 
daaah pole imenikumbusha tulikwenda kwenye msiba wakati wa kuondoka tukaomba lift kwa jamaa sikumbuki inaitwaje kutokana na dhahama iliyonipata, ile kukaa sawa kwenye kiti akavuta droo akatoa risiti ya kununua gari akatuonyesha huku anasema "hii gari nimenunua ghali sana hebu soma hapo" kuangalia imenunuliwa 168m mmmmhhh tukabaki kushangaa alikuwa ana maana gani? hizi lift wakati mwingine bora kupanda zako bajaji siku zinapita kuliko kuletewa msongo wa mawazo bure. pole ndyoko yote maisha mambo yako yakikamilika ipo siku nawe utampa lift
 
uwiiiii! jirani kweli kakuchoka mkuu!
alikuwa nakuhesabia tu unavyocut down expenses zako hata wese huchangii teh!
swali la ziada, umepanda io lift kwa muda gan mkuu?? hehehe usiniambie mwaka duuh!

umenene man, ata wese hawachangii!
 
tatizo ulikuwa ukipanda unakaa mbele alafu unaanza kubadili redio station mara wafu fm, mara kiss fm wakati mwenzio kajiwekea redio tanzania anasiliza kipindi cha jambo, akahisi siku nyingine utapiga honi

haaah haaah haaah umenichekesha sana mkuu.
 
Wengine hawapendi kutoa lift kwa kuwa mara nyingine wanahitaji privacy. Kuna jirani yangu mmoja mara nyingi hupenda lift wakati wa kutoka kazini; atapiga simu na kuuliza: "unaondoka saa ngapi mkuu?". Sasa shida ni kwamba mara nyingi mie nina mizunguko yangu, ikiwemo ya nyumba ndogo, kwa hiyo inakuwa ngumu kufuatana na mtu kwenye mambo yako private. Ukimwambia nitachelewa leo, anasema naye atachelewa kwa hiyo umshitue wakati wa kuondoka. Mambo gani haya? Mimi nadhani kama kuna watu wanaona kununua gari sio muhimu basi wawe tayari kupanda daladala.

haaaah haaah so wote mtachelewa haaah haaah ngoma draw
 
get yourself a used one if you can't afford a new one............and stop barraging a good Samaritan.......ila halahala usikope...........kama huna.....
 
Very interesting,umenikumbusha ule msemo unaosema akufukuzae hakuambii toka.....
 
Hahahahaha! Dah, wapi wanatoa mikopo ya magari jamani tujibebe kabla majirani hawajacharuka. Lol.
 



WAPENDA LIFT SIO KWENU TU........HATA KWETU WAPO.............:lol::eyebrows::embarassed2:



dc2006dayb03.jpg

hahahaha! Sijatarajia kucheka. Duh!
 
daaah pole imenikumbusha tulikwenda kwenye msiba wakati wa kuondoka tukaomba lift kwa jamaa sikumbuki inaitwaje kutokana na dhahama iliyonipata, ile kukaa sawa kwenye kiti akavuta droo akatoa risiti ya kununua gari akatuonyesha huku anasema "hii gari nimenunua ghali sana hebu soma hapo" kuangalia imenunuliwa 168m mmmmhhh tukabaki kushangaa alikuwa ana maana gani? hizi lift wakati mwingine bora kupanda zako bajaji siku zinapita kuliko kuletewa msongo wa mawazo bure. pole ndyoko yote maisha mambo yako yakikamilika ipo siku nawe utampa lift

mtaani kwetu kuna mzee akiombwa lift anawauliza watu nauli ya kutoka pale wanapoomba lift hadi wanapokwenda sh ngapi. Akishajibiwa anazama mfukoni anaibuka na noti.
 
mtaani kwetu kuna mzee akiombwa lift anawauliza watu nauli ya kutoka pale wanapoomba lift hadi wanapokwenda sh ngapi. Akishajibiwa anazama mfukoni anaibuka na noti.

Khaa lift balaa unaona mtu anakupa lift kumbe analake rohoni
 
Pole mkuu, panda daladala au nunua hata kavitz mana inaonekana jamaa ameona unaweza kununua kagari.
 
Gharama za kutunza au kuwa na gari.1. Ununuzi (capital tied up)2.Bima3. motor vehicle licence4. service ya kila mara5. Ununuzi wa matairi6. ununuzi wa vipuri7. mafuta ya gari8. gharama za maegesho9. n.kJe wewe unamsaidiaje mwenzako katika gharama hizi?Ungekuwa muungwana unajaza hata mafuta ya wiki moja kwa mwezi angekuwa anakupitia nyumbani kwako mwondoke.Acha kupendelea KITONGA ( MITEREMKO)
 
Ujumbe ulifika the very moment ulipotolewa, na ndiyo maana nilishuka aisee. I felt humiliated to the maximum!


Humiliation.....yeees

Pole mkuu yaani I can imagine how deep the cut is.....mchukulie poa tu ni madhaifu na kukosa utu......

They say every dog has its own day.....yako ni hiyo na yake itakuja pia.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom